Mechi ya Yanga vs USM Alger itachezwa Leo saa 10 jioni!
Yanga wakati huo wakiiwakilisha Tanzania ambapo katika ulimwengu wa roho majira ya saa 10 upepo utakuwa unavuma kutoka kusini mwa afrika kuelekea kaskazin- magharibi mwa afrika!
Meli na vyombo vya anga vitakavyosafiri muda huo wa saa 10 kutoka Tanzania kuelekea kaskazini/magharibi havitakuwa na ukinzani mkubwa kama ambavyo vinakuja Tanzania vitakavyopata tabu!
Hata wasafiri wa kutoka Zanzibar kwa boat Leo majira ya saa 10 wataweza kudhibitisha mtikiso wa upepo huo!
Hiyo ni ishara kwamba yanga hawatabebeka kwa uchawi muda huo wa saa 10, Bali hadi saa 10:59 ndipo uchawi unaweza kuanza kufanya kazi hadi majira ya saa 11.
Pamoja na mengine mengi!
Yanga ikiwa inaiwakilisha Tanzania Watafungwa bao la kwanza na USM Alger hii Leo lakini baada upepo kutulia nguvu yao itarejea Yanga watakuja kusawazisha kupitia lango lilelile!
Naandika haya sahivi ni saa 06:44 asubuhi kabla ya mechi jioni saa 10.
Hadi dakika 90+ zitaisha USM Alger 1-1 Yanga moja likiwa ni bao la kusawazisha!
Yanga wakati huo wakiiwakilisha Tanzania ambapo katika ulimwengu wa roho majira ya saa 10 upepo utakuwa unavuma kutoka kusini mwa afrika kuelekea kaskazin- magharibi mwa afrika!
Meli na vyombo vya anga vitakavyosafiri muda huo wa saa 10 kutoka Tanzania kuelekea kaskazini/magharibi havitakuwa na ukinzani mkubwa kama ambavyo vinakuja Tanzania vitakavyopata tabu!
Hata wasafiri wa kutoka Zanzibar kwa boat Leo majira ya saa 10 wataweza kudhibitisha mtikiso wa upepo huo!
Hiyo ni ishara kwamba yanga hawatabebeka kwa uchawi muda huo wa saa 10, Bali hadi saa 10:59 ndipo uchawi unaweza kuanza kufanya kazi hadi majira ya saa 11.
Pamoja na mengine mengi!
Yanga ikiwa inaiwakilisha Tanzania Watafungwa bao la kwanza na USM Alger hii Leo lakini baada upepo kutulia nguvu yao itarejea Yanga watakuja kusawazisha kupitia lango lilelile!
Naandika haya sahivi ni saa 06:44 asubuhi kabla ya mechi jioni saa 10.
Hadi dakika 90+ zitaisha USM Alger 1-1 Yanga moja likiwa ni bao la kusawazisha!