kipachaibwe
Member
- Dec 11, 2020
- 36
- 71
nashauri mayele aende tu maana tukimzuia hatacheza kwa furahaKikao kilichofanyika juzi jumapili kati ya uongozi wa Yanga na usimamizi wa Mayele haukufikia muafaka
Yanga wanadai hawataweza kuongeza ofa zaidi kwa Mayele na wamempa machaguo mawili wakala wake
Wametoa siku 5 aidha akubali ofa ya mezani kusaini mkataba mpya
Au auzwe nje ya chi kwa dola laki 9
Sawa na zaidi ya billion 2 kwa pesa ya bongo
Lolote linaweza kutokea
Tatizo ni kwamba wananchi hawawezi kuingia uwanjani kucheza, na hata wakiingia hawawezi kufunga magoli. Hapo ndipo inapoonekana kuwa Mayele ni zaidi ya wananchi... Yanga ni zaidi ya Mayele! Ni zaidi ya mtu yeyote yule.Yanga ni wananchi.
Kwani LAZIMA auzwe huko inje au mwenye kufika bei anauziwa? Mbona uswangilish mwingi
Wamuuze wakati yupo kwao kwa mkopo 😂😂😂Kikao kilichofanyika juzi jumapili kati ya uongozi wa Yanga na usimamizi wa Mayele haukufikia muafaka
Yanga wanadai hawataweza kuongeza ofa zaidi kwa Mayele na wamempa machaguo mawili wakala wake
Wametoa siku 5 aidha akubali ofa ya mezani kusaini mkataba mpya
Au auzwe nje ya chi kwa dola laki 9
Sawa na zaidi ya billion 2 kwa pesa ya bongo
Lolote linaweza kutokea
Kwani kabla ya mayele ýanga alikuwa afungi magoli? Wamepita wangapi zaidi ya mayele pale yanga? Akili za kimangungu usiwe unazileta uku!Tatizo ni kwamba wananchi hawawezi kuingia uwanjani kucheza, na hata wakiingia hawawezi kufunga magoli. Hapo ndipo inapoonekana kuwa Mayele ni zaidi ya wananchi
asa mr transfomation fail anaweza toa dola laki 9 ili mayele auzwe hapa hapa!!!Kwani LAZIMA auzwe huko inje au mwenye kufika bei anauziwa? Mbona uswangilish mwingi
Kama ni hivyo uto wapo sahihi , Kwa mchezaji muhimu mkataba anaongezewa kabla mkataba mwingine haujaisha la sivyo ataondoka bure.Mayele si bado anamkataba na Yanga wa Mwaka mmoja?
Mbona anashinikizwa kuongeza mkataba wakati mkataba wake haujaisha ?
Nini tatizo hapo Uto?
Vipi kama anataka kucheza Yanga hadi mkataba wake utakapofikia kikomo?Kama ni hivyo uto wapo sahihi , Kwa mchezaji muhimu mkataba anaongezewa kabla mkataba mwingine haujaisha la sivyo ataondoka bure.