kipachaibwe
Member
- Dec 11, 2020
- 36
- 71
Kikao kilichofanyika juzi jumapili kati ya uongozi wa Yanga na usimamizi wa Mayele haukufikia muafaka
Yanga wanadai hawataweza kuongeza ofa zaidi kwa Mayele na wamempa machaguo mawili wakala wake
Wametoa siku 5 aidha akubali ofa ya mezani kusaini mkataba mpya
Au auzwe nje ya chi kwa dola laki 9
Sawa na zaidi ya billion 2 kwa pesa ya bongo
Lolote linaweza kutokea
Yanga wanadai hawataweza kuongeza ofa zaidi kwa Mayele na wamempa machaguo mawili wakala wake
Wametoa siku 5 aidha akubali ofa ya mezani kusaini mkataba mpya
Au auzwe nje ya chi kwa dola laki 9
Sawa na zaidi ya billion 2 kwa pesa ya bongo
Lolote linaweza kutokea