HakikaHii KMC ingekutana na simba ingepata draw au mikia kupigwa
Naamini hivyoYoung Africans!!!! Champions!!!!
Vp tuanze kuhesabu unbeaten?Mwenendo wa Yanga tangu msimu mpya uanze unafurahisha. Wamecheza mechi mbili kwenye Ngao ya jamii (vs Azam na Simba) bila kuruhusu goli (ndani ya dk 90), wakaja kucheza mechi ya awali ya ligi ya klabu bingwa Afrika (vs ASAS) bila kuruhusu goli, na hatimaye wamecheza na KMC kwenye mechi ya NBC premier league na kumaliza bila kuruhusu goli.
Kwa upande mwingine, Yanga imeweza kufunga magoli katika mechi tatu kati ya hizo nne. Kwa ujumla timu hii ya Wananchi imeuanza vema msimu huu mpya wa mashindano
Clean sheetVp tuanze kuhesabu unbeaten?
KabisaaaVp tuanze kuhesabu unbeaten?
AahaaaaaKweli yanga wana ukuta sio wa kawaida.jana nilisikiza mpira kuanzia dk ya 50.sijasikia kipa wa yanga akitajwa hadi dk ya 84.nikawa najiuliza kipa wa yanga leo nani.
Maana angekua anasikiika kila mala kutajwa akisevu mipira.
Wakicheza tena na timu za aina hii kipa wa yange awe anatumwa duka kuwaletea soda wenzio.hakuna sababu ya kusimama golini bila ya sababu ya msingi.
Kwa takwimu kipa wa yanga aligusa mpira kwa mikono mara 2 tuuh , lakini alipiga pass 40Kweli yanga wana ukuta sio wa kawaida.jana nilisikiza mpira kuanzia dk ya 50.sijasikia kipa wa yanga akitajwa hadi dk ya 84.nikawa najiuliza kipa wa yanga leo nani.
Maana angekua anasikiika kila mala kutajwa akisevu mipira.
Wakicheza tena na timu za aina hii kipa wa yange awe anatumwa duka kuwaletea soda wenzio.hakuna sababu ya kusimama golini bila ya sababu ya msingi.
Ni kweliKweli yanga wana ukuta sio wa kawaida.jana nilisikiza mpira kuanzia dk ya 50.sijasikia kipa wa yanga akitajwa hadi dk ya 84.nikawa najiuliza kipa wa yanga leo nani.
Maana angekua anasikiika kila mala kutajwa akisevu mipira.
Wakicheza tena na timu za aina hii kipa wa yange awe anatumwa duka kuwaletea soda wenzio.hakuna sababu ya kusimama golini bila ya sababu ya msingi.
Hilo liko waziHii KMC ingekutana na Simba ingepata draw au mikia kupigwa
Kama tulikupiga magoli 2, na kisha tukatoa droo nikakudunda kwa penati, kisha wewe ukaipiga KMC magoli 5, huoni kwamba mimi ningeipiga hiyo KMC magoli 7?Hii KMC ingekutana na Simba ingepata draw au mikia kupigwa