Yanga na mechi nne za mashindano bila kuruhusu goli

KMC, Azam na ASAS nazo ni timu kati ya timu? Mabao matatu aliyofungwa na Simba siyo mabao?
Kama unafikiri penalt ni rahisi, zile na usm alger na SSC, mlifunga ngapi?
 
KMC, Azam na ASAS nazo ni timu kati ya timu? Mabao matatu aliyofungwa na Simba siyo mabao?
Kama unafikiri penalt ni rahisi, zile na usm alger na SSC, mlifunga ngapi?
Una akili nyingi sana. Tunajivunia
 
Simba wamecheza mechi nne na Ubingwa mmoja
 
Unajificha kwenye kichaka cha ndani ya dakika 90...kweli wewe Utopolo....kufungwa kufungwa tu haijalishi ulifungwa dakika ya ngapi...kwani yale magoli matatu ya Simba hayakuingilia golini.
 
Unajificha kwenye kichaka cha ndani ya dakika 90...kweli wewe Utopolo....kufungwa kufungwa tu haijalishi ulifungwa dakika ya ngapi...kwani yale magoli matatu ya Simba hayakuingilia golini.
Una akili sana. Hongera
 
Yanga ikiendelea hivi, ubingwa wa msimu huu utakua na magoli mengi sana.
 
Mpuuzi ww SI ANGEKUWA BINGWA WA NGAO. Indio ubwege wa kukimbia SHULE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…