Yanga na Simba, Kumbukeni hii ni knockout stage na nyie ni madaraja

Kama baadhi ya wachezaji wa hizo timu mbele ya kamera wanaamini kulogwa na mataulo ya makipa maana yake nyuma ya kamera kuna makubwa zaidi ya hayo. Hizo timu zinaendeshwa kiuswahili swahili.
 
Ulipoanza kuongelea uchawi nikajua we ni lofa tu hujui chochote kuhusu sports investment or investment generally. Nakushauri utengeneze bango kubwa uungane na waganga kutoka Rukwa na Bagamoyo wanautibu upungufuvwa nguvu za kiume na kuwavuta wapenzi achana kabisa na mambo ya mpira.
 
Kama ulikuwa na mantiki ila umekosea Kwa kusema matokeo ya yanga ni sawa na ya Simba,yanga ana faida maana ana sare tasa nyumbani kwahy sare isiyo tasa ya ugenini Bado yanga atatoboa,Simba yeye kwa haraka haraka amesha kufa kiume.
 

Margin of error ni
0.05 kwa sababu huo ni mpira
 

Sawa sawa , tunaenda kuona Yanga akichanga karata zake pale Pretoria
 

Nimependa Confidence yako. Tukutane Pretoria Tarehe 5
 
Una muhaho..!!
Wenzio tunahitaji sare ya magoli tu, wakati nyie mnahitaji kushinda kuanzia magoli 2..!! Sasa sisi wenye kuhitaji sare unatupa 5% ya kushinda, na nyie si mna 0%? Makolo bwana..!!

Nimependa confidence yako
 
Ndio. Tumeshapoteza nyumbani, kule tunaenda kutafuta ushindi tu, hatuna kitu cha kulinda kuwa tutakipoteza ila tunaenda kutafuta. Droo tunatoka, tukifungwa tunatoka, option ni moja tu. Kushinda.

Labda mpate ushindi wa njaa huko Misri. Utaruka ruka na utatolewa

No
Way
 
Kwemye mada kama hii young africans tumeibgiaje mkuu? . Kwa hiyo dunduka mnaona bora mfe kiume ñ sisi kwenye mifano yenu? Nyie jadilin ya kwenu ya kwetu tuachien wenyewe
 
Ukiwa mpenzi wa Simba au Yanga, kwa hatua hii waliofikia naona ni ujinga
tu kuendeleza ushabiki wa club, let us encourage them. Mi ni shabiki wa Simba, Yanga anapokuwa anacheza kimataifa huwa sion hata haja ya kumtakia afungwe, maana anaibeba nchi na sio mashabiki na wanachama wake
 
Kama baadhi ya wachezaji wa hizo timu mbele ya kamera wanaamini kulogwa na mataulo ya makipa maana yake nyuma ya kamera kuna makubwa zaidi ya hayo. Hizo timu zinaendeshwa kiuswahili swahili.

Wanajulikana. Hata Mayele claimed sana

Ndio maana huko alipo hamna anachofanya

Pale SA na Egypt ndio tutajua ni Uchawi au Uwekezaji

Mbele ya watu elf 60 with great atmosphere tumeshindwa kuandika goli lolote for both team

Then …….. Pretoria na Cairo kuna jambo
 
Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.
Waje hata na hewa yao ya kuvuta maana hewa ya Tz imejaa uchawi
 

Naongea kwa data. I am a scientist . SSC imepigwa fine kwa UCHAWI , je nimedanganya

Mayele top player wenu kawananga Yanga openly kwa sababu ya uchawi na hata mganga kamtaja

SSC alipigwa fine na CAF kwa uchawi, je hili pia ni uzushi ?

Sio vitu vya kutunga

Everyone can check and verify the claim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…