Yanga na Simba, Kumbukeni hii ni knockout stage na nyie ni madaraja

Yanga na Simba, Kumbukeni hii ni knockout stage na nyie ni madaraja

Kama baadhi ya wachezaji wa hizo timu mbele ya kamera wanaamini kulogwa na mataulo ya makipa maana yake nyuma ya kamera kuna makubwa zaidi ya hayo. Hizo timu zinaendeshwa kiuswahili swahili.
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
Ulipoanza kuongelea uchawi nikajua we ni lofa tu hujui chochote kuhusu sports investment or investment generally. Nakushauri utengeneze bango kubwa uungane na waganga kutoka Rukwa na Bagamoyo wanautibu upungufuvwa nguvu za kiume na kuwavuta wapenzi achana kabisa na mambo ya mpira.
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
Kama ulikuwa na mantiki ila umekosea Kwa kusema matokeo ya yanga ni sawa na ya Simba,yanga ana faida maana ana sare tasa nyumbani kwahy sare isiyo tasa ya ugenini Bado yanga atatoboa,Simba yeye kwa haraka haraka amesha kufa kiume.
 
Wewe ni mtu wa SIMBA na unajua wazi nyinyi ni wabovu na hamuwezi kuitoa Ahly.

Unasema no way team hizi zinaweza kuwatoa Ahly na Mamelod, sasa mbona unazipa certain/chance/probability ya 0.05? si ungesema ni 0. Aya mambo ya kung'ang'ana kuichambua YANGA kimahesabu wakati mtu ni la Saba F muache(just jokes).

Margin of error ni
0.05 kwa sababu huo ni mpira
 
Sundowns na vipasi pasi vyao hawatishi kama tunavyoaminishwa. Vyura wanaweza kupita wakichanga karata zao vizuri.

Simba pale uarabuni ni pagumu ila hatuna cha kupoteza twende tukashambulie tukipigwa za kutosha sawa ila twende tukashambulie kwa nia ya kushinda.

Sawa sawa , tunaenda kuona Yanga akichanga karata zake pale Pretoria
 
Uwekezaji sio kila kitu kwenye mpira
Tujifunze kukubali vya kwetu mpira wa Tanzania ngazi ya vilabu umekuwa

Yanga na simba hawajazidi uwekezaji wydad, pyramid, Orlando, Zamalek Borzedad, Raja Casablanca n.k lakini hawa wote hawakuiona quarter final

Luverkusen anaenda kuwa bingwa German hajawekeza kuliko Buyern munich
Leicister city ashakuwa bingwa EPL

Sasa nakwambia hivi Yanga anaenda semi final

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimependa Confidence yako. Tukutane Pretoria Tarehe 5
 
Una muhaho..!!
Wenzio tunahitaji sare ya magoli tu, wakati nyie mnahitaji kushinda kuanzia magoli 2..!! Sasa sisi wenye kuhitaji sare unatupa 5% ya kushinda, na nyie si mna 0%? Makolo bwana..!!

Nimependa confidence yako
 
Ndio. Tumeshapoteza nyumbani, kule tunaenda kutafuta ushindi tu, hatuna kitu cha kulinda kuwa tutakipoteza ila tunaenda kutafuta. Droo tunatoka, tukifungwa tunatoka, option ni moja tu. Kushinda.

Labda mpate ushindi wa njaa huko Misri. Utaruka ruka na utatolewa

No
Way
 
Kwemye mada kama hii young africans tumeibgiaje mkuu? . Kwa hiyo dunduka mnaona bora mfe kiume ñ sisi kwenye mifano yenu? Nyie jadilin ya kwenu ya kwetu tuachien wenyewe
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
Ukiwa mpenzi wa Simba au Yanga, kwa hatua hii waliofikia naona ni ujinga
tu kuendeleza ushabiki wa club, let us encourage them. Mi ni shabiki wa Simba, Yanga anapokuwa anacheza kimataifa huwa sion hata haja ya kumtakia afungwe, maana anaibeba nchi na sio mashabiki na wanachama wake
 
Kama baadhi ya wachezaji wa hizo timu mbele ya kamera wanaamini kulogwa na mataulo ya makipa maana yake nyuma ya kamera kuna makubwa zaidi ya hayo. Hizo timu zinaendeshwa kiuswahili swahili.

Wanajulikana. Hata Mayele claimed sana

Ndio maana huko alipo hamna anachofanya

Pale SA na Egypt ndio tutajua ni Uchawi au Uwekezaji

Mbele ya watu elf 60 with great atmosphere tumeshindwa kuandika goli lolote for both team

Then …….. Pretoria na Cairo kuna jambo
 
Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.
Waje hata na hewa yao ya kuvuta maana hewa ya Tz imejaa uchawi
 
Ulipoanza kuongelea uchawi nikajua we ni lofa tu hujui chochote kuhusu sports investment or investment generally. Nakushauri utengeneze bango kubwa uungane na waganga kutoka Rukwa na Bagamoyo wanautibu upungufuvwa nguvu za kiume na kuwavuta wapenzi achana kabisa na mambo ya mpira.

Naongea kwa data. I am a scientist . SSC imepigwa fine kwa UCHAWI , je nimedanganya

Mayele top player wenu kawananga Yanga openly kwa sababu ya uchawi na hata mganga kamtaja

SSC alipigwa fine na CAF kwa uchawi, je hili pia ni uzushi ?

Sio vitu vya kutunga

Everyone can check and verify the claim
 
Back
Top Bottom