Yanga na Simba, Kumbukeni hii ni knockout stage na nyie ni madaraja

Yanga na Simba, Kumbukeni hii ni knockout stage na nyie ni madaraja

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
Unateseka ukiwa wapi kolo?
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.
Wewe ni mtu wa SIMBA na unajua wazi nyinyi ni wabovu na hamuwezi kuitoa Ahly.

Unasema no way team hizi zinaweza kuwatoa Ahly na Mamelod, sasa mbona unazipa certain/chance/probability ya 0.05? si ungesema ni 0. Aya mambo ya kung'ang'ana kuichambua YANGA kimahesabu wakati mtu ni la Saba F muache(just jokes).
 
Sundowns na vipasi pasi vyao hawatishi kama tunavyoaminishwa. Vyura wanaweza kupita wakichanga karata zao vizuri.

Simba pale uarabuni ni pagumu ila hatuna cha kupoteza twende tukashambulie tukipigwa za kutosha sawa ila twende tukashambulie kwa nia ya kushinda.
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
We sema tu kuwa mwanasimba

Povu lote la nini?
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
Hata mwaka jana yanga alienda fainali ya CCC hivihivi
 
Uwekezaji sio kila kitu kwenye mpira
Tujifunze kukubali vya kwetu mpira wa Tanzania ngazi ya vilabu umekuwa

Yanga na simba hawajazidi uwekezaji wydad, pyramid, Orlando, Zamalek Borzedad, Raja Casablanca n.k lakini hawa wote hawakuiona quarter final

Luverkusen anaenda kuwa bingwa German hajawekeza kuliko Buyern munich
Leicister city ashakuwa bingwa EPL

Sasa nakwambia hivi Yanga anaenda semi final

Sent using Jamii Forums mobile app
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
Una muhaho..!!
Wenzio tunahitaji sare ya magoli tu, wakati nyie mnahitaji kushinda kuanzia magoli 2..!! Sasa sisi wenye kuhitaji sare unatupa 5% ya kushinda, na nyie si mna 0%? Makolo bwana..!!
 
Sundowns na vipasi pasi vyao hawatishi kama tunavyoaminishwa. Vyura wanaweza kupita wakichanga karata zao vizuri.

Simba pale uarabuni ni pagumu ila hatuna cha kupoteza twende tukashambulie tukipigwa za kutosha sawa ila twende tukashambulie kwa nia ya kushinda.
Hamna cha kupoteza?
 
Back
Top Bottom