Yanga na Simba, Kumbukeni hii ni knockout stage na nyie ni madaraja

Yanga na Simba, Kumbukeni hii ni knockout stage na nyie ni madaraja

Sundowns na vipasi pasi vyao hawatishi kama tunavyoaminishwa. Vyura wanaweza kupita wakichanga karata zao vizuri.

Simba pale uarabuni ni pagumu ila hatuna cha kupoteza twende tukashambulie tukipigwa za kutosha sawa ila twende tukashambulie kwa nia ya kushinda.

Lini umewai kusikia Al ahly kafungwa misri kwenye caf champions league
 
Lini umewai kusikia Al ahly kafungwa misri kwenye caf champions league
Kabla ya mwaka jana lini uliwahi sikia vyura wamefika fainali kombe la shirikisho? Au robo fainali club bingwa? Kama haitatokea msimu huu basi kuna msimu itatokea.
 
Kabla ya mwaka jana lini uliwahi sikia vyura wamefika fainali kombe la shirikisho? Au robo fainali club bingwa? Kama haitatokea msimu huu basi kuna msimu itatokea.

Tunampiga Mamelody 3
 
Ndio. Tumeshapoteza nyumbani, kule tunaenda kutafuta ushindi tu, hatuna kitu cha kulinda kuwa tutakipoteza ila tunaenda kutafuta. Droo tunatoka, tukifungwa tunatoka, option ni moja tu. Kushinda.
Mnacho cha kupoteza..!! Msipoingia nusu fainali, na huku Yanga tuingie, MTATAFUTA PA KUISHI mwakarobo wa hedi nyie..!!!

BTW, kuna msemo unaenda kufa NATURAL death, ule wa sisi tumeingia robo mara nne..!! Msemo huu utakufa naturally baada ya Yanga kutinga nusu. Ni kama ule wa SISI NI WA KIMATAIFA ULIVYOJIFIA KIFO CHA MENDE..!!
 
Mnacho cha kupoteza..!! Msipoingia nusu fainali, na huku Yanga tuingie, MTATAFUTA PA KUISHI mwakarobo wa hedi nyie..!!!

BTW, kuna msemo unaenda kufa NATURAL death, ule wa sisi tumeingia robo mara nne..!! Msemo huu utakufa naturally baada ya Yanga kutinga nusu. Ni kama ule wa SISI NI WA KIMATAIFA ULIVYOJIFIA KIFO CHA MENDE..!!
Upo sawa. Vyura mkipita tutakuwa kwenye hali ngumu mno maana mnajua kukoroma sana. Ndo maana nasema Simba hatuna la kupoteza tena, tunapaswa kushambulia kule uarabuni. Tukifungwa basi tuombee na nyinyi mfungwe. Mkishinda basi tujiandae na mikelele.
 
Wewe ni mtu wa SIMBA na unajua wazi nyinyi ni wabovu na hamuwezi kuitoa Ahly.

Unasema no way team hizi zinaweza kuwatoa Ahly na Mamelod, sasa mbona unazipa certain/chance/probability ya 0.05? si ungesema ni 0. Aya mambo ya kung'ang'ana kuichambua YANGA kimahesabu wakati mtu ni la Saba F muache(just jokes).
Wewe ndio mbumbumbu unaeng'ang'ania uSimba na Yanga, mwenzio amefafanua kisomi.
 
78f0c26d-b996-4324-9f4f-c8c961326a6e.jpg

Hadi CAF imesha confirm kuwa SSC out dah
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
Unasema there is no way wakawatoa then unasema kuna 5%. Kaka ulikimbia somo la hesabu, mtu akiwa hata na 0.005%, that's a chance na huwezi kusema there is no way.
Ungesema tu 0% chance ungeeleweka
 
Unasema there is no way wakawatoa then unasema kuna 5%. Kaka ulikimbia somo la hesabu, mtu akiwa hata na 0.005%, that's a chance na huwezi kusema there is no way.
Ungesema tu 0% chance ungeeleweka

Sawa , ndio umekiona hicho tu fault - finder
 
Dah! Hiyo ndo kisomi kumbe!!😁
Nyie SIMBA mwisho wenu ni ROBOFINALI, sasa matusi ya nini tena?
Hiyo iko hivyo, Yanga walau ana nafasi ya kusonga mbele.

Ahly wana faida ya goli la ugenini tayari, kuwatoa inahitajika kazi ngumu, ambayo Simba hawaiwezi, huo ndio ukweli mchungu.
 
Sundowns na vipasi pasi vyao hawatishi kama tunavyoaminishwa. Vyura wanaweza kupita wakichanga karata zao vizuri.

Simba pale uarabuni ni pagumu ila hatuna cha kupoteza twende tukashambulie tukipigwa za kutosha sawa ila twende tukashambulie kwa nia ya kushinda.
Kwambaaali una hoja
 
Sundowns na vipasi pasi vyao hawatishi kama tunavyoaminishwa. Vyura wanaweza kupita wakichanga karata zao vizuri.

Simba pale uarabuni ni pagumu ila hatuna cha kupoteza twende tukashambulie tukipigwa za kutosha sawa ila twende tukashambulie kwa nia ya kushinda.
Kwambaaali una hoja
 
There is no way SSC atamtoa Ahly, na there is no way Yanga atamtoa Mamelody… however, kimpira, it can be done lakini chance of occurrence ni less than 5%{0.05}.

Significance level of 95% ipo kwa Mamelody and Alhly . That is hard truth.

Mpira wa Yanga na SSC ni butu butu, haupo strategically, ni mpira wa mipasho na media snaa with poor investment..

Next year tutakuja kwenye sajili, tutaanza drama.

WAkati huo Ahly na Mamelody wanakuwa wapo kwenye searching engine na screening

Wanasema Pacome hayupo na Aucho….. so what ?

ila sisi wa bongo tuna excuses sana halafu ni kama hatupo matured, yaani uwepo wa pacome ndio tungeifunga Mamelody , ?

Mbona tunakuwa losers kama yule aliyesema SSC kafungwa 5 kwa sababu kibu aliumia….. mambo ya ajabu. Pacome ni investment ya mil 9 kwa mwezi, angekuwa ni key player asingecheza Yanga.
Kwa muda gani hatujawahi kuuza mchezaji kwenye klabu za maana.

Tulimuuza mikison kwenda Ahly , aliweza?

Tiukamuuza Mayele kwa klabu ya kawaida Misir, ameweza? Si amegeuka mzee wa mipasho na hii tabia mmemfundisha nyie.

Tunawekeza kwenye UCHAWI hadi wachezaji wanatunanga: na kwa taarifa yenu hizi timu zinakuja na vitu vyao kwa sababu wanaambiwa watanzania ni wachawi sana na mpira wao unatumia dark energy.

Mbona wakienda misiri hawabebi, au wakienda SA , Moroco, algeria ….Wameshaambiwa watanzania ni WACHAWI….

Tubadilike, tuwe scientifically , professional football inahitaji science na sio Uchawi.
Ya salenda ama bwm
 
Mnacho cha kupoteza..!! Msipoingia nusu fainali, na huku Yanga tuingie, MTATAFUTA PA KUISHI mwakarobo wa hedi nyie..!!!

BTW, kuna msemo unaenda kufa NATURAL death, ule wa sisi tumeingia robo mara nne..!! Msemo huu utakufa naturally baada ya Yanga kutinga nusu. Ni kama ule wa SISI NI WA KIMATAIFA ULIVYOJIFIA KIFO CHA MENDE..!!
Aahaaaa
 
Back
Top Bottom