Yanga ndiye hatoboi maana hadi sasa yupo mkiani katika kundi lake, Simba wao ni wa pili.Yanga Hatoboi na Simba Hatoboi
Tunautunza huu uzi for future referenceEnzi zile muda kama huu SSC anapoint nne. This time mambo ni tofauti. Yanga nae ni hamna namna. Mambo ya Afungwe huyu adraw huyu ni hesabu za ajabu. Yanga Hatoboi na Simba Hatoboi kwa assumption kwamba kila mtu ashinde kwake….. mengine ni kujifariji
Everything is possible hakuna team isiyofungwa hata mamelody wamefungwa na Tp mazembe wydad wamefungwa na jwaneng galaxy yaani simba na yanga ni kina wasifungwe why ?Enzi zile muda kama huu SSC anapoint nne. This time mambo ni tofauti. Yanga nae ni hamna namna. Mambo ya Afungwe huyu adraw huyu ni hesabu za ajabu. Yanga Hatoboi na Simba Hatoboi kwa assumption kwamba kila mtu ashinde kwake….. mengine ni kujifariji
Wenye akili wanaangalia mechi zilizobaki unacheza na nani na zipi za nyumbani na zipi za ugeniniYanga ndiye hatoboi maana hadi sasa yupo mkiani ktk kundi lake, Simba wao ni wa pili.
Simba aheshimiwe
Badoo mambo ni magumu.Yanga ndiye hatoboi maana hadi sasa yupo mkiani katika kundi lake, Simba wao ni wa pili.
Simba aheshimiwe
Hivi sasa, match iko liveEverything is possible hakuna team isiyofungwa hata mamelody wamefungwa na Tp mazembe wydad wamefungwa na jwaneng galaxy yaani simba na yanga ni kina wasifungwe why ?
simba msimu uliopita muda kama huu ana point 0 na goli 0 na alitoboa robo fainali..
Simba na yanga bado zote nafasi zipo ...
bado sanaa kusema nani atoboi na nani anatoboa..
kama umeona simba na yanga hawatoboi haya tuambia wanaopita tayari robo fainali kwenye haya makundi
Enzi zile zipi?Enzi zile muda kama huu SSC anapoint nne. This time mambo ni tofauti. Yanga nae ni hamna namna. Mambo ya Afungwe huyu adraw huyu ni hesabu za ajabu.
Yanga Hatoboi na Simba Hatoboi kwa assumption kwamba kila mtu ashinde kwake….. mengine ni kujifariji
Kundi gumu balaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa ANAPITA ASEC NA GALAXY
Simba sio wa pili mkuuYanga ndiye hatoboi maana hadi sasa yupo mkiani katika kundi lake, Simba wao ni wa pili.
Simba aheshimiwe