Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kinachoniuma ni timu yetu pendwa kushika mkia katika CAFCL kwa group lao ilhali katika NBC league wanaongoza, na hivi juzi walipiga mtu mkono wa nyani.ila timu yangu ya Yanga inahitaji kushinda ugenini mara mbili.
Nikisema tunahujumiwa nitakuwa nimekosea?