Yanga na Simba SC hamtoboi

Yanga na Simba SC hamtoboi

ila timu yangu ya Yanga inahitaji kushinda ugenini mara mbili.
Kinachoniuma ni timu yetu pendwa kushika mkia katika CAFCL kwa group lao ilhali katika NBC league wanaongoza, na hivi juzi walipiga mtu mkono wa nyani.

Nikisema tunahujumiwa nitakuwa nimekosea?
 
Hii tebo inakatisha tamaa sana. Grupu A ndilo gumu sana kwani miamba wamatunishiana misuli kikamilifu lakini makokeo ya grupu B an grupu D ambako ndiko tunapowakilishwa kweli ni ya kukatisha tamaa sana. Simba bado wana nafasi ya kuweza kutoboa kwa kushinda ugeninini mara moja tu ila timu yangu ya Yanga inahitaji kushinda ugenini mara mbili. Kwenye msimu uliopita walishinda ugeninini mara nne na Simba walishnida ugeninini mara moja, hata hivyo hali ya mashindano mwaka huun hayatabiriwi na matokeo ya msimu wa mwaka jana,


View attachment 2831940
Dah..😭😭 Kweli mkuu, Yaani Natamani sana turudi kule Shirikisho, kule tulikuwa tunajipigia tu hadi tukavaa na medali
Itabidi mwakani tujilengeshe tucheze Shirikisho, huku kwa mabingwa ni balaa
 
Hatima ya Simba na Yanga zitaamuliwa na mechi inayofuatia. Wote Simba na Yanga wana advantage inayofanana.

Kutakuwa na mechi mbili za vita ya wenyewe kwa wenyewe (waongoza kundi) ambapo Al Ahly atakipiga na Belouizdad huku Galaxy akikipiga na Asec.
Hapa ni lazima wagawane point au mmoja apoteze kabisa. Simba wanatakiwa washinde kwa Mkapa dhidi ya Wydad huku kule Morocco aende kutafuta chochote kitu.

Upande wa Yanga nao ni lazima wakomae wamfunge Medeama nje ndani. Wakishindwa kufanya hivyo hawavuki.
Aisee huku kwa mabingwa kweli kugumu, mwakani turudi tu Shirikisho hakyanani, huku ni kuumbuka
 
Hii tebo inakatisha tamaa sana. Grupu A ndilo gumu sana kwani miamba wamatunishiana misuli kikamilifu lakini makokeo ya grupu B an grupu D ambako ndiko tunapowakilishwa kweli ni ya kukatisha tamaa sana. Simba bado wana nafasi ya kuweza kutoboa kwa kushinda ugeninini mara moja tu ila timu yangu ya Yanga inahitaji kushinda ugenini mara mbili. Kwenye msimu uliopita walishinda ugeninini mara nne na Simba walishnida ugeninini mara moja, hata hivyo hali ya mashindano mwaka huun hayatabiriwi na matokeo ya msimu wa mwaka jana,


View attachment 2831940
Yanga anahitaji kuhinda mechi moja ugenini na mechi mbili za nyumbani. Hatima ya Simba na Yanga zipo kwenye fixture inayofuata
 
Aisee huku kwa mabingwa kweli kugumu, mwakani turudi tu Shirikisho hakyanani, huku ni kuumbuka
Ni kweli kugumu sana maana tokea msimu uanze hakuna hata mechi moja tulioshinda, yaani ni sare ndio ushindi wetu hata kwa vitimu vilivyochini kwenye CAF ranking
 
Wydad anapigika vizuri tu nje ndani, we si unaona vilaza kama akina Jwaneng Galaxy na Asec wanajipigia, Simba atashindwa?
Mechi waliyofungwa ns jwaneng ni bahati tu iliwabeba jwaneng, walizidiwa sana, Wydad sio wabaya , sema wamekosa umaliziaji mzuri.
 
Back
Top Bottom