Najua ASEC kapiga waydadSimba sio wa pili mkuu
Simba msimu uliopita, mechi 2 za mwanzo alipigwa lakini akatinga robo fainali.Enzi zile muda kama huu SSC anapoint nne. This time mambo ni tofauti. Yanga nae ni hamna namna. Mambo ya Afungwe huyu adraw huyu ni hesabu za ajabu.
Yanga Hatoboi na Simba Hatoboi kwa assumption kwamba kila mtu ashinde kwake….. mengine ni kujifariji
Simba ajitahid mechi ya away apate hata point 1 na ya nyumbani ashinde apate point 4 toka kwa wydadHatima ya Simba na Yanga zitaamuliwa na mechi inayofuatia. Wote Simba na Yanga wana advantage inayofanana.
Kutakuwa na mechi mbili za vita ya wenyewe kwa wenyewe (waongoza kundi) ambapo Al Ahly atakipiga na Belouizdad huku Galaxy akikipiga na Asec.
Hapa ni lazima wagawane point au mmoja apoteze kabisa. Simba wanatakiwa washinde kwa Mkapa dhidi ya Wydad huku kule Morocco aende kutafuta chochote kitu.
Upande wa Yanga nao ni lazima wakomae wamfunge Medeama nje ndani. Wakishindwa kufanya hivyo hawavuki.
Simba wa tatu kwenye kundi BYanga ndiye hatoboi maana hadi sasa yupo mkiani katika kundi lake, Simba wao ni wa pili.
Simba aheshimiwe
Simba msimu uliopita, mechi 2 za mwanzo alipigwa lakini akatinga robo fainali.
Kihesabu na title ya simba hata kama sisi tunamuona mbovu namuona kabisa anaingia robo fainalHatima ya Simba na Yanga zitaamuliwa na mechi inayofuatia. Wote Simba na Yanga wana advantage inayofanana.
Kutakuwa na mechi mbili za vita ya wenyewe kwa wenyewe (waongoza kundi) ambapo Al Ahly atakipiga na Belouizdad huku Galaxy akikipiga na Asec.
Hapa ni lazima wagawane point au mmoja apoteze kabisa. Simba wanatakiwa washinde kwa Mkapa dhidi ya Wydad huku kule Morocco aende kutafuta chochote kitu.
Upande wa Yanga nao ni lazima wakomae wamfunge Medeama nje ndani. Wakishindwa kufanya hivyo hawavuki.
Mimi naona timu zote Simba na Yanga bado zina nafasi,ukiangalia matokeo kwenye makundi yao siyo ya kuzikatia tamaa labda na michezo yao inayofuata wakipigwa ndiyo watakuwa kwenye danger zoneEnzi zile muda kama huu SSC anapoint nne. This time mambo ni tofauti. Yanga nae ni hamna namna. Mambo ya Afungwe huyu adraw huyu ni hesabu za ajabu.
Yanga Hatoboi na Simba Hatoboi kwa assumption kwamba kila mtu ashinde kwake….. mengine ni kujifariji
Timu ambayo ilikuwa inapewa nafasi kubwa kwenye kundi hili ni Waidad ambaye anaburuza mkia hivyo lolote linaweza kutokea. So far timu zote kwenye kundi hili zina nafasi ya kuingia robo fainali.Sasa lile kundi lilikuwa ni hopeless kundi. Hakuna huo mchezo this year . Timu Zote zinaitaka robo fainal.
Hiyo timu ya Ghana Yanga Lito boa ni ngumu wapo vema
Kweli inatakiwa ampige wydad nje ndaniSimba msimu uliopita, mechi 2 za mwanzo alipigwa lakini akatinga robo fainali.
mechi mbili zinazokuja ndio zitakazotoa uelekeo wa makundi yao, sasa ivi zote zina nafasiMimi naona timu zote Simba na Yanga bado zina nafasi,ukiangalia matokeo kwenye makundi yao siyo ya kuzikatia tamaa labda na michezo yao inayofuata wakipigwa ndiyo watakuwa kwenye danger zone
Na Yanga ni wa mkiani katika kundi lake 😂Simba wa tatu kwenye kundi B
Kati ya mechi 4 zilizobaki Yanga ana uwezo wa kushinda mechi moja tu dhidi ya Medeama kwa mkapa, tena hiyo sio guaranteedAkishinda mechi zote zilizobaki bado hatoboi?
Simba ni wa pili akiwa na pointi mbili. Simba na Galaxy wamecheza mechi mbili wakati wenzake wamecheza mechi moja. Wakishalingana games ndio utapata msimamo wa kundi.Yanga ndiye hatoboi maana hadi sasa yupo mkiani katika kundi lake, Simba wao ni wa pili.
Simba aheshimiwe
Kwa aina ya gemu zilizobakia na mfufulizo wenu wa matokeo kwenye haya mashindano sioni mkipita, game pekee ambayo mnaweza kushinda ni marudiano na Galaxy.Simba huijui ndugu....
Tunaponzwa na hiki ki mgogoro kidogo tu
Tukikaa sawa kabla mechi hazijaisha utaongea mengine.