Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kinachoniuma ni timu yetu pendwa kushika mkia katika CAFCL kwa group lao ilhali katika NBC league wanaongoza, na hivi juzi walipiga mtu mkono wa nyani.ila timu yangu ya Yanga inahitaji kushinda ugenini mara mbili.
Hili ni hesabu kichaa kabisa.Simba ajitahid mechi ya away apate hata point 1 na ya nyumbani ashinde apate point 4 toka kwa wydad
Hakuna team itatufunga kwao kwa mechi zilizobakiKwa aina ya gemu zilizobakia na mfufulizo wenu wa matokeo kwenye haya mashindano sioni mkipita, game pekee ambayo mnaweza kushinda ni marudiano na Galaxy.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hili haliwezekaniKweli inatakiwa ampige wydad nje ndani
Dah..😭😭 Kweli mkuu, Yaani Natamani sana turudi kule Shirikisho, kule tulikuwa tunajipigia tu hadi tukavaa na medaliHii tebo inakatisha tamaa sana. Grupu A ndilo gumu sana kwani miamba wamatunishiana misuli kikamilifu lakini makokeo ya grupu B an grupu D ambako ndiko tunapowakilishwa kweli ni ya kukatisha tamaa sana. Simba bado wana nafasi ya kuweza kutoboa kwa kushinda ugeninini mara moja tu ila timu yangu ya Yanga inahitaji kushinda ugenini mara mbili. Kwenye msimu uliopita walishinda ugeninini mara nne na Simba walishnida ugeninini mara moja, hata hivyo hali ya mashindano mwaka huun hayatabiriwi na matokeo ya msimu wa mwaka jana,
View attachment 2831940
Aisee huku kwa mabingwa kweli kugumu, mwakani turudi tu Shirikisho hakyanani, huku ni kuumbukaHatima ya Simba na Yanga zitaamuliwa na mechi inayofuatia. Wote Simba na Yanga wana advantage inayofanana.
Kutakuwa na mechi mbili za vita ya wenyewe kwa wenyewe (waongoza kundi) ambapo Al Ahly atakipiga na Belouizdad huku Galaxy akikipiga na Asec.
Hapa ni lazima wagawane point au mmoja apoteze kabisa. Simba wanatakiwa washinde kwa Mkapa dhidi ya Wydad huku kule Morocco aende kutafuta chochote kitu.
Upande wa Yanga nao ni lazima wakomae wamfunge Medeama nje ndani. Wakishindwa kufanya hivyo hawavuki.
Wydad anapigika vizuri tu nje ndani, we si unaona vilaza kama akina Jwaneng Galaxy na Asec wanajipigia, Simba atashindwa?Kweli inatakiwa ampige wydad nje ndani
Yanga anahitaji kuhinda mechi moja ugenini na mechi mbili za nyumbani. Hatima ya Simba na Yanga zipo kwenye fixture inayofuataHii tebo inakatisha tamaa sana. Grupu A ndilo gumu sana kwani miamba wamatunishiana misuli kikamilifu lakini makokeo ya grupu B an grupu D ambako ndiko tunapowakilishwa kweli ni ya kukatisha tamaa sana. Simba bado wana nafasi ya kuweza kutoboa kwa kushinda ugeninini mara moja tu ila timu yangu ya Yanga inahitaji kushinda ugenini mara mbili. Kwenye msimu uliopita walishinda ugeninini mara nne na Simba walishnida ugeninini mara moja, hata hivyo hali ya mashindano mwaka huun hayatabiriwi na matokeo ya msimu wa mwaka jana,
View attachment 2831940
Ni kweli kugumu sana maana tokea msimu uanze hakuna hata mechi moja tulioshinda, yaani ni sare ndio ushindi wetu hata kwa vitimu vilivyochini kwenye CAF rankingAisee huku kwa mabingwa kweli kugumu, mwakani turudi tu Shirikisho hakyanani, huku ni kuumbuka
Mechi waliyofungwa ns jwaneng ni bahati tu iliwabeba jwaneng, walizidiwa sana, Wydad sio wabaya , sema wamekosa umaliziaji mzuri.Wydad anapigika vizuri tu nje ndani, we si unaona vilaza kama akina Jwaneng Galaxy na Asec wanajipigia, Simba atashindwa?