Yanga na Simba unazi wa zamani: Kisa cha Mzee Mangara Tabu na Ayubu Kiguru

Yanga na Simba unazi wa zamani: Kisa cha Mzee Mangara Tabu na Ayubu Kiguru

Mohamed Said

Rafiki yako alikuwa centre half wa Dundee United ya Scotland?
Ede...
Zamani hapa Dar es Salaam tulikuwa na vilabu vya mitaani na vyote vina makina ya Ulaya hasa Uingereza - Liverpool, Dundee United, Chelsea nk.

Na tulikuwa na Denis Law, Danny Blanchflower, Eusobio, Mazola.
 
Tuzo ni award, si reward.
Gag...

Mimi itabidi mniwie radhi kwani hata hao watu wa TUKI nina ''reservations,'' zangu.

Najiamini sana katika lughja yangu ya Kiswahili kiasi ukinitolea kamusi tutapingana bado.

Sisemi ''mapungufu,'' mimi nasema ''upungufu.''

Mimi kama Mswahili huo ndiyo uelewa wangu.

Lakini sina tatizo na wale ambao labda kwa kuwa asili yao si Uswahili watakizungumza Kiswahili kwa namna yao ya ''kutuza'' ''lisaa'' na ''masaa'' na ''mapungufu.''
 
Ede...
Zamani hapa Dar es Salaam tulikuwa na vilabu vya mitaani na vyote vina makina ya Ulaya hasa Uingereza - Liverpool, Dundee United, Chelsea nk.

Na tulikuwa na Denis Law, Danny Blanchflower, Eusobio, Mazola.
Kuna pahala umemtaja mchezaji wa Sunderland kwa jina Kilomoni. Alikuwa na undugu na hawa kina Jamhuri Kiwelu?

Nakumbuka Jamhuri kabla ya kuchezea timu kubwa alikuwa akifanya mazoezi na timu ya Simba viwanja vya shule ya Uhuru, wachezaji wenzake wakimuita Kilomoni.
 
Kuna pahala umemtaja mchezaji wa Sunderland kwa jina Kilomoni. Alikuwa na undugu na hawa kina Jamhuri Kiwelu?

Nakumbuka Jamhuri kabla ya kuchezea timu kubwa alikuwa akifanya mazoezi na timu ya Simba viwanja vya shule ya Uhuru, wachezaji wenzake wakimuita Kilomoni.
Gag...
Hilo jina la KIlomoni vijana wengi wakilichukua kama jina lao la mpira.
Alikuwapo Said Kilomoni lakini jina lake khasa ni Said Marjebi.

Kulikuwa pia na Hassan Gilbert.

Gilbert Mahinya alikuwa half back hodari sana wa Sunderland kisha akahamia Yanga.
 
Gag...
Hilo jina la KIlomoni vijana wengi wakilichukua kama jina lao la mpira.
Alikuwapo Said Kilomoni lakini jina lake khasa ni Said Marjebi.

Kulikuwa pia na Hassan Gilbert.

Gilbert Mahinya alikuwa half back hodari sana wa Sunderland kisha akahamia Yanga.
Kuna uhusiano wowote hapa na Mzee Hamisi Kilomoni wa Simba?
 
Babu shikamoo kwani wewe kipindi hicho ulikuwa unashikilia wadhifa gani baina ya team izo mbili Sunderland na yanga mbona unasimulia kama ulikuwa kitengo fulani
 
Babu shikamoo kwani wewe kipindi hicho ulikuwa unashikilia wadhifa gani baina ya team izo mbili Sunderland na yanga mbona unasimulia kama ulikuwa kitengo fulani
Kwa umri wangu wa miaka 70 mimi kwako ni baba.

Wanao ndiyo wajukuu zangu siwezi kwa umri huu kuwa na mjukuu makamo yako.

Miaka hiyo mimi ni mtoto mdogo.
 
Kwa umri wangu wa miaka 70 mimi kwako ni baba.

Wanao ndiyo wajukuu zangu siwezi kwa umri huu kuwa na mjukuu makamo yako.

Miaka hiyo mimi ni mtoto mdogo.
Babaangu ana miaka 47 Mim nna miaka 21 baba yangu ananizid miaka 26 wew unamzid Baba yangu miaka 23 wewe n Babu yangu kabisa
 
Hiyo ID yako pengine ilimfanya adhani una miaka 47!
Kama ana miaka 21 huo ni umri wa mwanangu wa mwisho.

Wajukuu zangu mkubwa ni miaka 7.
Kazaliwa baba akiwa na miaka 26.

Umri huo mimi bado nasoma.
 
Ede...
Zamani hapa Dar es Salaam tulikuwa na vilabu vya mitaani na vyote vina makina ya Ulaya hasa Uingereza - Liverpool, Dundee United, Chelsea nk.

Na tulikuwa na Denis Law, Danny Blanchflower, Eusobio, Mazola.
Nakuunga mkono MAHAMED Said kiswahili fasaha ni kutuza, na ni kweli kabisa timu zetu enzi zetu zilitumia majina ya timu za bara Ulaya, Dodoma tulikua na timu inaitwa Dundee na ilivuma kote Nchini miaka ya 1976
 
Kwahiyo Beda Amour alijenga hilo soko mwaka 50?
Tangawizi,
Hapana Beda hakujenga Soko la Kariakoo 1950.

Mwaka wa 1950 soko lilikuwapo lililojengwa zamani.

Soko la zamani lilipovunjwa ndiyo Beda Amuli akajenga hili soko jipya.
 
Nakuunga mkono MAHAMED Said kiswahili fasaha ni kutuza, na ni kweli kabisa timu zetu enzi zetu zilitumia majina ya timu za bara Ulaya, Dodoma tulikua na timu inaitwa Dundee na ilivuma kote Nchini miaka ya 1976
Kutunza ndiyo sahihi, hata kwa mtazamo wa Mohamed Said. Si kutuza kama uonavyo wewe.
 
Back
Top Bottom