Unakwepa hoja....
Umeulizwa ushawahi ona ligi ambayo timu ina viporo 12? HujajibuIpi hiyo. ?
Walizoea kubebwa na Malinzi. Hivi sasa vyura wanataga tuMnachoteseka ni nini? Inamana Yanga ndy angetakiwa achukue? Shida mnataka bingwa awe wa upande mmoja tuu!! Kwa jins hiyo, ligi haiwezi kukua hata iweje!! Ni kama vile Yanga mnaumia sana
Umeulizwa ushawahi ona ligi ambayo timu ina viporo 12? Hujajibu
Maelezo meeeengiiii JIBUNI KAMA MMEWAHI ONA TIMU INA VIPORO 12....Kelele zote hizo ni yanga kukosa ubingwa Lau mngeupata hoja hizi usinge zileta hapa.
Ubovu wa ligi ya bongo sio viporo tuu. yako mengi mnooo sasa yanga kukosa ubingwa sababu mnayo ishikia bango ni viporo .
Kwa anayejua mpira hakuna mpira kusimama kama mchezaji yupo nje ya touchline. Halafu angalia kipa alivyotoka nje alimwangalia refa kwanza halafu akaendelea kulala. Alikuwa na nafasi ya kurudi uwanjani na kutupa gloves. Wachezaji wanatakiwa kuwa na uelewa wa sheria kadri inavyowezekana.Hawajui ndugu yangu , hao wamerishwa matango pori na kocha wao anaejua kila kitu kumbe hamna kitu
Shinda mechi zako uone kama viporo vitamsaidia mshindani wako. Tatizo mliteleza kwa Simba, Lipuli, Stand Utd, na Biashara, na mkatoa sare kadhaa zikiwemo za Ndanda zote mbili, Simba na singida. Hapo umedondosha point za kutosha, ungeshinda hizo mechi hata viporo vya Simba vingekukuta ukiwa bingwaUmeulizwa ushawahi ona ligi ambayo timu ina viporo 12? Hujajibu
Ahahahahaa mnaendeleza maelezo tu... JIBUNI SWALI LA MSINGI...Mmewahi ona kwenye ligi yoyote duniani eti kuna timu ina viporo 12..?? Mnakimbia HOJA... Si mseme kama mmewahi au la!!Shinda mechi zako uone kama viporo vitamsaidia mshindani wako. Tatizo mliteleza kwa Simba, Lipuli, Stand Utd, na Biashara, na mkatoa sare kadhaa zikiwemo za Ndanda zote mbili, Simba na singida. Hapo umedondosha point za kutosha, ungeshinda hizo mechi hata viporo vya Simba vingekukuta ukiwa bingwa
Shadaaaaapppkwa ufatiliaji wako wa soka umewahi sikia timu ina viporo 12
ama timu kucheza kila baada ya siku 2
ama backpass kuwa offside
ama mpira kuendelea ikiwa golikipa kaumia
Yaani washkaji TFF wamekuwa bwabwa kabisa kwa Mo.kwa ufatiliaji wako wa soka umewahi sikia timu ina viporo 12
ama timu kucheza kila baada ya siku 2
ama backpass kuwa offside
ama mpira kuendelea ikiwa golikipa kaumia
Moira hauchezwi bila kipa.Kumbe hilo nalo linawaumiza? Kwa taarifa yako, mchezaji yeyote akiwa nje ya pitch, huyo refa wala hashughuliki naye, maana inawezekana ni wa akiba alikuwa anapasha! Ni ushamba tu wa golikipa na wanaomuunga mkono kama wewe! Ukitaka mchezo usimamishwe, umia ukiwa ndani ya pitch, ukiwa nje maana yake hauzuii mchezo kuendelea!
Hiyo ratiba na muda kapanga mnyama...na siku ya kutangazwa ambayo ni leo.Tena simba ndio ilitakiwa ilalamike kwenye hili la kucheza kila baada ya siku mbili matokeo yake analalamika Yanga
unazungumzia soka ama kabumbu, psg,liva,baka na ubora wao wanategjemea matokeo 3, kumtaka Yanga ashinde tu bila suruhu wala kupigwa hilo sio SOKA ni KABUMBUMkuuu wewe ungeshinda mechi zako zote hivyo viporo vya mnyamaa vingekuathili nini? .
kimataifa alicheza peke yake vp tp,vital,j.s soura kwenye ligi zao wallikuwa na ivo viporo 12Kwahiyo kuhusu viporo ulitaka simba wanyanganywe asicheze au? Maana walikuwa wanacheza kimataifa hakukua na namna nyingine, unasema hujawahi kuona je ni sheria ya mpira inakataza au ni haijatokea tu?
Ushabiki tuweke kando, ligi yetu ya Tanzania bara ipo corrupted, kuanzia daraja la kwanza ndiyo madudu kabisa, ligi kuu bingwa anaandaliwa kabla ligi kuchezwa
Tatizo lipo TFF, nachelea kusema bodi ya ligi au chama cha marefa....sababu TFF wanajua kabisa madudu ya hizi idara na wana mandate ya kuzivunja wapo kimya.
Ushauri wangu kama hakutatokea mabadiliko kwenye hizo sehemu hapo juu...tutegemee simba kuchukua ubingwa misimu yote mpaka mabadiliko ya uongozi wa TFF, chama cha waamuzi na bodi ya ligi vipo corrupted.
Je ungepangiwa ratiba ngumu ungesemajekufungwa siyo tatizo, tatizo je ulifungwa kihalali....kuna figisu za kupangiwa matches za mbali mfululizo..mfano Tanga to singida then Tanga tena ukitoka hapo Lindi...makusudi tu..magoli halali kukataliwa...kunyimwa penalt za wazi nk