Yanga na teams zote za ligi kataeni huu upuuzi

Yanga na teams zote za ligi kataeni huu upuuzi

Mnachoteseka ni nini? Inamana Yanga ndy angetakiwa achukue? Shida mnataka bingwa awe wa upande mmoja tuu!! Kwa jins hiyo, ligi haiwezi kukua hata iweje!! Ni kama vile Yanga mnaumia sana
Malalamiko haya ni halali, hakuna ligi duniani kote timu moja iwe na viporo 23 huku zingine zimebaki na mechi 5. Huu ukikuwa mpango wa TFF kuiwezesha Simba. Faida ya viporo 23 ni kufanya biashara kwa timu ambazo hazina matumaini ya kuchukua ubingwa wala kushuka daraja kuuza mechi. TFF imulikwe kwa hili.
 
Kwahiyo kuhusu viporo ulitaka simba wanyanganywe asicheze au? Maana walikuwa wanacheza kimataifa hakukua na namna nyingine, unasema hujawahi kuona je ni sheria ya mpira inakataza au ni haijatokea tu?
Fuatilia timu za wenzetu ,ligi yao yule anayeshiriki UEFA na asiyeshiriki idadi ya michezo ni sawa hakuna viporo,sasa Simba viporo 23 timu zingine zimebaki na mechi 5. Hapa ilipangwa muvi ya timu ambazo hazina matumaini ya ubingwa wala kushuka daraja kufanya biashara na Simba. Huu ulikuwa mpango wa TFF na Simba, viporo 23!
 
Kwahiyo kuhusu viporo ulitaka simba wanyanganywe asicheze au? Maana walikuwa wanacheza kimataifa hakukua na namna nyingine, unasema hujawahi kuona je ni sheria ya mpira inakataza au ni haijatokea tu?
Fuatilia timu za wenzetu ,ligi yao yule anayeshiriki UEFA na asiyeshiriki idadi ya michezo ni sawa hakuna viporo,sasa Simba viporo 23 timu zingine zimebaki na mechi 5. Hapa ilipangwa muvi ya timu ambazo hazina matumaini ya ubingwa wala kushuka daraja kufanya biashara na Simba. Huu ulikuwa mpango wa TFF na Simba, viporo 23!
 
Fuatilia timu za wenzetu ,ligi yao yule anayeshiriki UEFA na asiyeshiriki idadi ya michezo ni sawa hakuna viporo,sasa Simba viporo 23 timu zingine zimebaki na mechi 5. Hapa ilipangwa muvi ya timu ambazo hazina matumaini ya ubingwa wala kushuka daraja kufanya biashara na Simba. Huu ulikuwa mpango wa TFF na Simba, viporo 23!
Ww mpaka uangalie wengine wamefanyeje ndo ufuate? Kwan viporo vilichezwa simba kila mchezaji alikuwa na miguu minne? Au ni miwili kawaida? Na kama yanga alikuwa anauwezo kwann asingeshinda mechi zake halafu tuone kama simba angekuwa bingwa,
 
kwa ufatiliaji wako wa soka umewahi sikia timu ina viporo 12

ama timu kucheza kila baada ya siku 2

ama backpass kuwa offside

ama mpira kuendelea ikiwa golikipa kaumia
Sasa simba kashakuwa bingwa kuna haja gani ya kusikia hayo uliyoandika
 
unazungumzia soka ama kabumbu, psg,liva,baka na ubora wao wanategjemea matokeo 3, kumtaka Yanga ashinde tu bila suruhu wala kupigwa hilo sio SOKA ni KABUMBU

kama ungepewa nafasi ya kuongoza soka ukaja na mawazo kama haya ni ajabu sana
Kwahiyo kushindwa ni lazima au? Kama timu haina uwezo haina tu acheni kutafuta sababu za kushindwa andaeni timu ligi bado ipo ikiwa bora itashinda tu ila ikiwa mbovu mtaendelea kusema simba inanunua mechi
 
kwa ufatiliaji wako wa soka umewahi sikia timu ina viporo 12

ama timu kucheza kila baada ya siku 2

ama backpass kuwa offside

ama mpira kuendelea ikiwa golikipa kaumia
Kwani unateseka?
 
We mtoa mada bwege sana, wakati malinzi anaitengenezea yanga ubingwa kwa misimu mitatu bado ulikuwa sitimbi? Au mpira wa bongo umeanza kuushabikia mwaka huu?! Vyura mnateseka sana, na bado!
 
Miaka yote yanga wamebeba ndoo hakukua na ujinga huu

Wamejidhalilisha tu
We ndio kichwa maji umeona wapi timu moja inailipia nauli timu pinzani aje acheze nayo?! Au umesahau Ndanda ilivyocheza na yanga mechi zote dar na malinzi akabariki tu! Zamu yenu kunyolewa vyura nyie!
 
Effect za viporo ni rahisi sana kupanga matokeo mfano kuna timu zinakua haziendi popote hata zishinde hivo ni rahisi kushawishika na timu yenye viporo vingi kama ikihitaji sana matokeo ili kumpita yule mshindani wake kwa wakati huo.

Pili inamuongezea morale mwenye viporo mfano najua kua anaeongoza ligi timu ABC ana point 90 na labda kamaliza mechi zake tayari na Mimi nikimaliza mechi za viporo nitakua na point labda 91 hapa morale ninayoiongelea n ya kupata matokeo kwa njia yoyote ile.. Iwe halali au sio halali

Binafsi Mimi ni mshabiki wa Yanga ila naongea kiuhalisia na ukweli yanga tulipotea zile sare mbili kwanza na coastal pili na singida halafu tukafungwa na lipuli lakini bado tungeweza kushinda ubingwa kama simba asingepata point sita za mbeleko. Game ya kwanza na kmc (nadhan hii ndio refa kambuzi alifungiwa) na mechi ya pili na jkt kama sikosei baadhi hata ya mashabiki wa simba ambao ni rafiki zangu wamekubali kua msimu huu kuna baadhi ya mechi mmebebwa
Mkuuu wewe ungeshinda mechi zako zote hivyo viporo vya mnyamaa vingekuathili nini? .
 
We ndio kichwa maji umeona wapi timu moja inailipia nauli timu pinzani aje acheze nayo?! Au umesahau Ndanda ilivyocheza na yanga mechi zote dar na malinzi akabariki tu! Zamu yenu kunyolewa vyura nyie!
Hukuelewa hata chembe

Nalaaabuk

Ndio shida ya kudandia treni kwa mbele hii
 
kwa ufatiliaji wako wa soka umewahi sikia timu ina viporo 12
ama timu kucheza kila baada ya siku 2
ama backpass kuwa offside
ama mpira kuendelea ikiwa golikipa kaumia
Hata vingekuwa viporo 7 bado mngesema tu..
Magoli ya tambwe ya mikono ndio sahihi?
 
mkuu unacheza match Tanga vs coast unaenda singida..ndan ya siku 2 unarudishwa tena Tanga...kwanin usipangiwe games zote za Tanga umalize then ndiyo uende singida...huoni uhuni huo
Kumbe kuchukua ubingwa unafikiri ni simple?
 
Sio kazi ya TFF, Bodi ya Ligi au Marefarii kuzijengea uwezo baadhi ya timu kuchukua ubingwa. Uwezo unatokana na maandalizi ya kila timu moja moja, kuanzia usajili hadi training. Kumbuka mlivyokuwa mkibeza bajeti ya bilioni 1.3, mnadhani mambo yanajiendea kwa mazoea tu? Watu wamewekeza, viongozi wa timu hizo za Kagera Sugar na Lipuli pia wakitafuta fedha za kutosha maandalizi kama ya Simba, watatoa ushindani hadi wa kubeba ubingwa, na wala sio ajabu. Mbona Azam amebeba ndoo, tena zote ya Bara na ya Kagame Cup? Kwa kuwa aliwekeza katika usajili na uendeshaji. Yanga ilikuwa inagoma kufanya uchaguzi, sasa nani atawapa malezi wachezaji, kocha? Yaani kocha ameajiriwa uje umtegemee ndio awabembeleze wachezaji wasigome? Yanga mkubali kuwa hamkuwa na kikosi kizuri kama Simba, na hamkuwa na viongozi wazuri kama Simba
Mkuu mbona umempa dozi ya maaana sana.. kama hatapona basi.
 
Ila yanga mna lawama ambazo hata hamfikirii kwakweli, game ya yanga vs azam, kuna miujiza niliona, lakini sijaona yanga wakilaumu , lile goli walofunga azam hahahahahaha , refa kagoma eti faulo khaaa!! Emu vibanzi vyetu tuvipeleke pande zote!! Timu inacheza judo uwanjani kwanini refa asitoe faulo, cha msingi jipangeni msimu ujao ili mje mchukue kombe !! Makocha wanaojua mpira wala huwa hawalaumu!!
Lile goli la NGOMA hata mimi nilishangaa Zahera hakuliongelea... Hawa jamaa ni wagonjwa
 
Back
Top Bottom