Yanga;Nawashauri muwapeleke akina said makapu katika timu nyingine kwa mkopo.


Kila timu ina first eleven na wachezaji wa akiba, ndiyo maana kila timu inasajili wachezaji 25 au zaidi na hakuna timu inayitumia wachezaji wote.
 
Said Mohamed alishawahi kuwa Yanga akala bench sana nadhan hata zile 5 na Simba alipigwa kama 3 hivi yeye! Hamna kitu pale
 
Said Mohamed alishawahi kuwa Yanga akala bench sana nadhan hata zile 5 na Simba alipigwa kama 3 hivi yeye! Hamna kitu pale
Lakini inategemea na ubora wa timu pinzani pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…