Yanga ndiyo timu ya kwanza duniani kufanya parade kabla ya fainali

pakaywatek

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
4,660
Reaction score
6,282
Ukiangalia timu zote huwa zinafanya parade baada ya kumaliza michuano yao yote wanayoshiriki.

Sasa yanga bado hawajacheza fainali na Azam tayari wanafanya parade; huo ni ushamba, wangesubiri wacheze fainali kwanza ili waunganishe.
 
Acha uwongo mzee wangu; hiyo parade waliyofanya Yanga ni kwa ushindi wa Ligi. Wakiamua wanaweza kufanya parade nyingine baada ya ushindi wa kombe la shirikisho, na wangeweza kuziunganisha parade zote mbili kwa mpigo.

Kutokana na ushiriki wa Yanga kwenye michezo ya kimataifa, ilisababisha ligi na Shirkisho kuahirishwa sana hadi ikafikia kuingiliana na ratiba ya FIFA.

Kwa hiyo baada ya fainali ya shirikisho, wachezaji wote wa Yanga wanaochezea timu za taifa za nchi zao watatakiwa kuondoka mara moja kwenda kuungana na timu hizo, hivyo hakutakuwapo nafasi ya wao kushiriki paredi itakayofanyika baada ya fainali za shirikisho.

Waache wana Yanga wale raha zao; iwapo raha hizo zitawaua basi hiyo siyo juu yako.
 
Acha uwongo mzee wangu; hiyo parade waliyofanya Yanga ni kwa ushindi wa Ligi. Wakiamua wanaweza kufanya parade nyingine baada ya ushindi wa kombe la shirikisho...
Fainali ya shirikisho tena? Au ndo fa cup?
 
Ukiangalia timu zote Huwa zinafanya parade baada ya kumaliza michuano Yao yote wanayoshiriki, Sasa yanga Bado hawajacheza fainani na Azam tayari wanafanya parade huo ni ushamba, wangesubiri wacheze fainali kwanza ili waunganishe.
mambo za kupangiana vitu zimeanza lini!!!
KM VP TUWACHANGISHIENI PESA MUENDE KASI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…