Yanga ndiyo timu ya kwanza kuwa na jezi maalum za wanawake

Yanga ndiyo timu ya kwanza kuwa na jezi maalum za wanawake

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
no.jpg
khha.jpg
kha.jpg
khaa.jpg
 
Yaani Mo akitengeneza madela ya simba. Ataweka matangazo ya mo kama 50 hivi na zaidi. Na kuna MO-beto. Huyu mobeto naona kama anajilengesha kwa mwamedi.
 
Yaani Mo akitengeneza madela ya simba. Ataweka matangazo ya mo kama 50 hivi na zaidi. Na kuna MO-beto. Huyu mobeto naona kama anajilengesha kwa mwamedi.
Wivu huo, hutaki mwenzio akakazwe na mo?
 
Vunja bei ana vituko, sa ndo nini kuita makalio ya mikia FOUNDATION.
 
Utopolo wabunifu sana. Unanunua gauni sijui dela hili unalikata kiunoni juu shati la baba chini unampa wife sketi. Umeokoa gharama
[emoji1787][emoji1787][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
 
Yaani Mo akitengeneza madela ya simba. Ataweka matangazo ya mo kama 50 hivi na zaidi. Na kuna MO-beto. Huyu mobeto naona kama anajilengesha kwa mwamedi.

Kwa hiyo unamuonea wivu Mobeto[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tofautisha jezi na madela. Misukule mumechanganyikiwa mbaya,huyu Kapumbu kawakata stimu kinoma noma
 
Back
Top Bottom