CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 558
- 2,093
Watu wana mavi kichwani..timu bora ukanda wa CECAFA kwa kumfunga TP Mazembe? Bangi sio chakula. Wenzako ni wa 9 kwa ubora Africa unaongea ufala hapa.
Lile kundi la Ahly, mamelody na cotton sports ungetoboa makundi ya CL ungekuwa umejificha unajikojolea tu
Lile kundi la Ahly, mamelody na cotton sports ungetoboa makundi ya CL ungekuwa umejificha unajikojolea tu