Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
- Thread starter
- #21
Tunasema sizitaki mbichi hizi.....Mngechukua ndoo hio ndo ingekuwa timu rasmi msimu ujao. Geez😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasema sizitaki mbichi hizi.....Mngechukua ndoo hio ndo ingekuwa timu rasmi msimu ujao. Geez😁
Usitulishe maneno kila mtu mtazamo wake, kwanza huwezi kuwa Yanga wewe, Yanga wanajitambua sana, eti mashindano haya kujiandaa kwaajili ya mechi za kimataifa du poor you, timu zipo kwenye mapumziko na pia zipo kwenye usajili
Yanga tulishiriki kwa malengo 3, kwanza kuwatumia vijana wetu wa U 20 ambao wanatazamiwa kupanda kwenda timu ya wakubwa, pili kuwatumia wachezaji ambao hawakucheza ligi sana ambao yanga wanampango wa kuwatema, na tatu kuwatumia baadhi ya wachezaji ambao kamati ya usajili inataka kujiridhisha na kiwango chao.
Kwa maana hii hakuna team hapo kama mlitumia kwaajili ya majiribio basi hawafai kabisa!!!... mashabiki wa Yanga nawapendea hapoUsitulishe maneno kila mtu mtazamo wake, kwanza huwezi kuwa Yanga wewe, Yanga wanajitambua sana, eti mashindano haya kujiandaa kwaajili ya mechi za kimataifa du poor you, timu zipo kwenye mapumziko na pia zipo kwenye usajili
Yanga tulishiriki kwa malengo 3, kwanza kuwatumia vijana wetu wa U 20 ambao wanatazamiwa kupanda kwenda timu ya wakubwa, pili kuwatumia wachezaji ambao hawakucheza ligi sana ambao yanga wanampango wa kuwatema, na tatu kuwatumia baadhi ya wachezaji ambao kamati ya usajili inataka kujiridhisha na kiwango chao.
Mnara anaenda kuwatia kidole cha kati, kuwa na subira
Eti tulipeleka under 20,kama vile above 20 wana maajabu
Sasa wewe unataka Yanga tuitwe Manara FC
Dua la kukuManeno yatawatoka sana tu,lakini ukweli ndiyo huo,mmetia aibu na CL ndiyo Taifa linakwenda kupata aibu kubwa zaidi.
Usicheke mkuu,mbinu ni ile ile kama ya mwaka jana,tengeneza drama nyingi wawe busy wajisahau..
Haaa,eti'Manara f.c[emoji23][emoji23]Ndiyo jina lao rasmi kwa sasa,Manara FC
Wameutoa,wamepaka ice cream wanaunyonya sasamlivyokuwa wadogo mliwekwa mwiko nyuma
Mkuu TFF ndio chanzo sisi kupoteza...Hakuna tofauti mkuu tatizo la yanga lipo kwenye chemestry ya team kila siku wachezaji wapya na makocha wapya duu kwa hili utoaji wataishia kuwa wa majaribio tu
Hahahahah minne tena yaani rahaMkuu TFF ndio chanzo sisi kupoteza...
Sisi Yanga kuna kitu tulifanywa kwa kweli. Ni mashabiki wa kipumbavu sana. Yaani week nzima tunahangaika na Manara na Mo.
Hatujiandai Wachezaji wetu wapo muda wote busy na mitandao. Insta na twitter kumuunga mkono Manara na kumsema Mo. Tunatolewa mapema mashindano ambayo yangetupa uzoefu wa mashindano ya kimataifa.
Imeniumiza sana. Huu ni wendawazimu. Tulipaswa kujikita kwenye mambo ya maana ya team yetu. Simba wanatuchuuza sana..sasa tunatolewa kwa aibu kwenye mashindano mapema sana. Halafu tunaji biizisha na manara.
This time Simba wametuweza sana. Tunahangaika na mambo ya kipuuzi sana. Tunaacha ku deal na mambo yetu. Inaumiza. Mi naona kama kuna kitu tulifanywa tulipokuwa wadogo