Yanga ni bora tusingeshiriki Kagame. Mimi naona kama sisi kuna Kitu tulifanywa tulipokuwa wadogo

Yanga ni bora tusingeshiriki Kagame. Mimi naona kama sisi kuna Kitu tulifanywa tulipokuwa wadogo

Mashabiki wa Yanga hamnazo walikuwa busy na Haji manara na Mo na kusahau kuhusu team yao wanafikiria ugomvi ndo utavheza nao loh
 
Usitulishe maneno kila mtu mtazamo wake, kwanza huwezi kuwa Yanga wewe, Yanga wanajitambua sana, eti mashindano haya kujiandaa kwaajili ya mechi za kimataifa du poor you, timu zipo kwenye mapumziko na pia zipo kwenye usajili

Yanga tulishiriki kwa malengo 3, kwanza kuwatumia vijana wetu wa U 20 ambao wanatazamiwa kupanda kwenda timu ya wakubwa, pili kuwatumia wachezaji ambao hawakucheza ligi sana ambao yanga wanampango wa kuwatema, na tatu kuwatumia baadhi ya wachezaji ambao kamati ya usajili inataka kujiridhisha na kiwango chao.

Maneno yatawatoka sana tu,lakini ukweli ndiyo huo,mmetia aibu na CL ndiyo Taifa linakwenda kupata aibu kubwa zaidi.
 
Usitulishe maneno kila mtu mtazamo wake, kwanza huwezi kuwa Yanga wewe, Yanga wanajitambua sana, eti mashindano haya kujiandaa kwaajili ya mechi za kimataifa du poor you, timu zipo kwenye mapumziko na pia zipo kwenye usajili

Yanga tulishiriki kwa malengo 3, kwanza kuwatumia vijana wetu wa U 20 ambao wanatazamiwa kupanda kwenda timu ya wakubwa, pili kuwatumia wachezaji ambao hawakucheza ligi sana ambao yanga wanampango wa kuwatema, na tatu kuwatumia baadhi ya wachezaji ambao kamati ya usajili inataka kujiridhisha na kiwango chao.
Kwa maana hii hakuna team hapo kama mlitumia kwaajili ya majiribio basi hawafai kabisa!!!... mashabiki wa Yanga nawapendea hapo
 
😂😂😂 Kwahy kwa pamoja mmekubaliana kuwa mlibanduliwa Mlipokuwa wadogo.?
 
Hakuna tofauti mkuu tatizo la yanga lipo kwenye chemestry ya team kila siku wachezaji wapya na makocha wapya duu kwa hili utoaji wataishia kuwa wa majaribio tu
Mkuu TFF ndio chanzo sisi kupoteza...
 
Sisi Yanga kuna kitu tulifanywa kwa kweli. Ni mashabiki wa kipumbavu sana. Yaani week nzima tunahangaika na Manara na Mo.

Hatujiandai Wachezaji wetu wapo muda wote busy na mitandao. Insta na twitter kumuunga mkono Manara na kumsema Mo. Tunatolewa mapema mashindano ambayo yangetupa uzoefu wa mashindano ya kimataifa.

Imeniumiza sana. Huu ni wendawazimu. Tulipaswa kujikita kwenye mambo ya maana ya team yetu. Simba wanatuchuuza sana..sasa tunatolewa kwa aibu kwenye mashindano mapema sana. Halafu tunaji biizisha na manara.

This time Simba wametuweza sana. Tunahangaika na mambo ya kipuuzi sana. Tunaacha ku deal na mambo yetu. Inaumiza. Mi naona kama kuna kitu tulifanywa tulipokuwa wadogo

Sisi Yanga kuna kitu tulifanywa kwa kweli. Ni mashabiki wa kipumbavu sana. Yaani week nzima tunahangaika na Manara na Mo

This time Simba wametuweza sana. Tunahangaika na mambo ya kipuuzi sana. Tunaacha ku deal na mambo yetu. Inaumiza. Mi naona kama kuna kitu tulifanywa tulipokuwa wadogo
JamiiForums-501749032.jpg
 
Back
Top Bottom