kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Timu ya Yanga ni kama mnyama mkubwaaa ambaye amefungiwa ndani ya pango bado ana tafuta pakutokea
Hii timu ina nguvu saana za asili na ni timu ambayo inaweza kuwa tishia barani Afrika
Ila bado wanajitafuta
Siku wakija kutoka na kuambia patachimbika kuna watu watakuwa wana kula nenda rudi goli mabao nenda rudi apa Afrika
Na maliza sisi ndo wala mihogo
Hakikisha una jembe lako na kisu pamoja na karanga kuna shamba letu uko Tunisia
Hii timu ina nguvu saana za asili na ni timu ambayo inaweza kuwa tishia barani Afrika
Ila bado wanajitafuta
Siku wakija kutoka na kuambia patachimbika kuna watu watakuwa wana kula nenda rudi goli mabao nenda rudi apa Afrika
Na maliza sisi ndo wala mihogo
Hakikisha una jembe lako na kisu pamoja na karanga kuna shamba letu uko Tunisia