Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Sasa vitoto vyote vya mitaani lazima viupopoe kupata chochote kitu. Ndicho kinachoendelea hata humu JF na kwenye mitandao mingine watu wanatumia ma bundle yao na muda wao kuiandika vibaya na wachache wakiiandika kwa mazuri. Lakini lengo lao kubwa kupata attention.
Kuna wengine hawana hoja kutwa kucha yeye kutoa thread za Yanga kibaya zaidi anaandika ujinga halafu ana jiamini kabisa eeh combination mbaya hiyo. Lakini sisi kama Yanga tunajua ukubwa jalala tutumie vizuri tunawapa platform msizushe habari za uongo
Leo hii
Al Merreikh Vs Young Africans saa 10:00
Kuna wengine hawana hoja kutwa kucha yeye kutoa thread za Yanga kibaya zaidi anaandika ujinga halafu ana jiamini kabisa eeh combination mbaya hiyo. Lakini sisi kama Yanga tunajua ukubwa jalala tutumie vizuri tunawapa platform msizushe habari za uongo
Leo hii
Al Merreikh Vs Young Africans saa 10:00