Yanga ni kubwa, ndio timu bora Tanzania na ukanda wa CECAFA

Yanga ni kubwa, ndio timu bora Tanzania na ukanda wa CECAFA

Hilooooo.
Screenshot_20250117-230013_Chrome.jpg
 
Ww tunza nguvu za kumuhudumia wifi yangu..Utopolo itakuaa
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Upo vizuri.Kwa ushahidi gani wa kiofisi umeeleza?
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Mwakikundi unajaribu kutafuta faraja...😂😂😂
 
Klabu pekee hapa Afrika Mashariki ni Gor Mahia wao ndio wana kombe la Washindi(Shirikisho)1987kama ni fainali ya Shirikisho hata Simba 1993 (kombe la Washindi),hebu elezea huo ukubwa hapa Afrika Mashariki unakujaje na hatujaweka kombe la klabu bingwa Afrika Mashariki (Sasa Kagame Cup)
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bin

Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Tuonyeshe caf ranking inayoonyesha yanga alishawahi kuwa team Bora Africa mashariki ondoka kati ,usiandike Kwa hisia wakati ukweli unaujua. Ukifanya mtihani unajua umefeli au umefaulu acha kujipa hope Kwa ujinga,unajidanganya upate faida gani ,ukiwa jinsi ya kiume hakuna tumaini la kuwa wa kike.
 
Usajili wa Chama ulikuwa ni kuifikisha Yanga Fainali na hilo limefeli, ukweli Usajili kwa ajili ya kukomoa au kufurahisha(kupumbaza) washabiki umeshapitwa na wakati kabisa,hata ukiiona Ahly inapata shida sana ligi ya kwao lakini unapoingia soka la Afrika inajulikana kuliko Zamalek au Pylamid,Yanga waende Kisasa waachane na mambo hayo yameshapitwa na wakati
 
Back
Top Bottom