Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Mpira sio kitu chako mkuu, jaribu kutafuta hobby nyingine.Gamboni is terrible, yanga player are disjointed, very terrible game play, caf champions league. tunaenda kutalii.
sure.Mpira sio kitu chako mkuu, jaribu kutafuta hobby nyingine.
Nakazia, asichojua mpaka sasa gamondi ameshafanikiwa kufikia lengo la kuifikisha timu hatua ya makundi CAFMpira sio kitu chako mkuu, jaribu kutafuta hobby nyingine.
Biashara haziendi hivyo, wanaachiana ulaji alafu dstv huku vijijini tulipo n changamoto.Azam wameshusha bando
Na bado hatujanunua
Sijui tunataka nini!!
DStv angechukua na pira la bongo ingekuwa magoli sana
Biashara haziendi hivyo, wanaachiana ulaji alafu dstv huku vijijini tulipo n changamoto.
Ulishawahi kujiuliza kwanini shabiby hana ruti ya dar-arusha?
Mpira tunauangalia tofauti sana. Kuna mtu dakika 90 zote anachezesha kichwa, kushoto, kulia, kushoto, kulia hadi Mpira unaisha, lakini hajaambulia chochote zaidi ya kujua matokeo tuNakazia, asichojua mpaka sasa gamondi ameshafanikiwa kufikia lengo la kuifikisha timu hatua ya makundi CAF
Kwa sababu Arusha ni kijijiniBiashara haziendi hivyo, wanaachiana ulaji alafu dstv huku vijijini tulipo n changamoto.
Ulishawahi kujiuliza kwanini shabiby hana ruti ya dar-arusha?
watu awataki ukweliKabisa mkuu yanga hawana kabisa plan wana tegemea bahati tu.. aibu ya taifa inakuja mechi na al ahly
😂😂😂🙉Mpira tunauangalia tofauti sana. Kuna dakika 90 zote achezesha kichwa, kushoto, kulia, kushoto, kulia hadi Mpira unaisha, lakini hajaambulia chochote zaidi ya kujua matokeo tu
Uzuri mpira ni mchezo wa waziwatu awataki ukweli
sio sababuKwa sababu Arusha ni kijijini
Kwa sababu Arusha ni kijijin
Anazingua ndio kwanza HTMpira tunauangalia tofauti sana. Kuna mtu dakika 90 zote anachezesha kichwa, kushoto, kulia, kushoto, kulia hadi Mpira unaisha, lakini hajaambulia chochote zaidi ya kujua matokeo tu
Nani kasema? Hiyo sio sababulabda ana uhaba wa magari..
Huyu si ndiye yule mtopolo aliandika barua FIFA kuishtaki Simba kwa match fixingMpira sio kitu chako mkuu, jaribu kutafuta hobby nyingine.
Huyu Azam aliyefungwa leo, ndiye anakusumbuaga na kushindwa kupata matokeo mazuri mbele yake, Yanga kaishamaliza hesabu zake kwa mzunguko wa kwanza dhidi ya Azam. Bado nyie mnakazi nae piaKabisa mkuu yanga hawana kabisa plan wana tegemea bahati tu.. aibu ya taifa inakuja mechi na al ahly