Yanga ni mbovu

Yanga ni mbovu

Timu yako mara ya mwisho kumfunga simba ilikuwa ni lini ?
Mshukuruni sana huyu binti
sddefault-2.jpg
 
Mwanamke na mpira wapi na wapi nenda kamuwekee mumeo maji bafuni,nyie kazi yenu kupiga umbeya mpira huwezi
Shika hamsini zako..maisha yangu hayakuhusu...bando hununui wewe...yani kiufupi take ur time...usinipangie cha kufanya.....mpangie sheria mkeo...ww unaeweza mpira unacheza namba ngapi? Kwani hapa tunacheza au tunatoa maoni yetu?? Katazeni wanawake basi wasiingie viwanjani au wasicheze mpira wa miguu...hakuna kitu unachojua wanawake wasijue..ficha ujinga wako...
 
Juzi nilisema kocha wa simba ni mzuri kuliko wa yanga..mmenitukana..lakini nawaambia akiendelea hivyo atakwama.
Mana anavijana wenye nguvu lakini naona wanahangaika sana.wakati madunduka wana wazee lakini kama wanaenda bila ya shida.
 
Juzi nilisema kocha wa simba ni mzuri kuliko wa yanga..mmenitukana..lakini nawaambia akiendelea hivyo atakwama.
Mana anavijana wenye nguvu lakini naona wanahangaika sana.wakati madunduka wana wazee lakini kama wanaenda bila ya shida.
Kwa ushindi wa kubebwa?
 
Back
Top Bottom