Yanga Ni timu mbovu kwa viwango vyote

Yanga Ni timu mbovu kwa viwango vyote

This is...

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5,050
Reaction score
5,204
Wakuu,saluti kwenu.naamini wote jana mlishuhudia mechi mbili tofauti za watani wa jadi.Wakati naangalia mechi ya mnyama mkali na Ihefu nilishangaa mashabiki na wapenzi wa Yanga wakibeza matokeo ya Simba kwamba imeshindwa kupata angalao goli nne kwa timu ndogo iliyopanda daraja msimu tena kwa playoff.

Saa moja ikaanza mechi Kati ya mbogamboga SC,vyura wa Jangwani,nyumbu,utopolo.wakaanza kupigwa ,baada ya mda wakajitutumua wakasawazisha.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu sikuwaona Yanga wakiwa na plan yoyote tena ya kupata goli. Je, kile ndio kikosi tuliambiwa cha bilioni na nusu na zaidi.

Kuna tofauti gani Kati ya hawa kina Sarpong,kisinda ,Yakouba et al na wakina Yikpe,molinga. Huu ni usajili wa kuangalia picha za YouTube bila kufuatilia uhalisia wa uchezaji wa mchezaji uwanjani. Kwa viwango vya timu km As Vita haiwez kuwa na mchezaji mzuri wa viwango bora wakamuuza Yanga.Yanga wamenunua magarasa.

WANAYANGA WENZANGU tujiandae kisaikolojia mwendo wa sare umeanza rasmi na ndio utakuwa ushindi wetu.Ikibidi huu uongoz wa sasa wa hawa majamaa GSM uondolewe haraka sana ili kuinusuru Yanga yetu.Ni ushauri wangu.Hawa Simba wanatisha tukikutana nao hamuona tutahama 4G na kuingia 5G.POVU RUKSAAAA.
 
Kusema kweli Yanga ina wachezaji...siyo waku wabeza....Yale ni matokeo tu ila wachezaji wapo labda achemke kocha tu...ile beki tatu yao ipo vizuri sana pia
 
Kusema kweli Yanga ina wachezaji...siyo waku wabeza....Yale ni matokeo tu ila wachezaji wapo labda achemke kocha tu...ile beki tatu yao ipo vizuri sana pia
Anaitwa nani huyo beki tatu
 
Wakuu,saluti kwenu.naamini wote jana mlishuhudia mechi mbili tofauti za watani wa jadi.Wakati naangalia mechi ya mnyama mkali na Ihefu nilishangaa mashabiki na wapenzi wa Yanga wakibeza matokeo ya Simba kwamba imeshindwa kupata angalao goli nne kwa timu ndogo iliyopanda daraja msimu tena kwa playoff...
Simba yenyewe msimu mzima ulioisha na kikosi chake kipana, alishindwa kuifunga Prison, sembuse Yanga.
 
Shida ya wanayanga walitegemea makubwa kupita kiasi, pia mihemko ya kuwakuza wachezaji wakidhani ndiyo wameleta mashine Kali Zaidi.

Makambo na Morison mapengo yao kwa nyakati tofauti tofauti hayajazibwa.
 
Yanga siyo mbovu ,zile kosa kosa za jana si mchezo halafu wanacheza kwa speed,nadhani ni suala la mda tu la wachezaji kufahamiana vizuri na wapate first eleven
 
Wakuu,saluti kwenu.naamini wote jana mlishuhudia mechi mbili tofauti za watani wa jadi.Wakati naangalia mechi ya mnyama mkali na Ihefu nilishangaa mashabiki na wapenzi wa Yanga wakibeza matokeo ya Simba kwamba imeshindwa kupata angalao goli nne kwa timu ndogo iliyopanda daraja msimu tena kwa playoff.

Saa moja ikaanza mechi Kati ya mbogamboga SC,vyura wa Jangwani,nyumbu,utopolo.wakaanza kupigwa ,baada ya mda wakajitutumua wakasawazisha.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu sikuwaona Yanga wakiwa na plan yoyote tena ya kupata goli. Je, kile ndio kikosi tuliambiwa cha bilioni na nusu na zaidi.

Kuna tofauti gani Kati ya hawa kina Sarpong,kisinda ,Yakouba et al na wakina Yikpe,molinga. Huu ni usajili wa kuangalia picha za YouTube bila kufuatilia uhalisia wa uchezaji wa mchezaji uwanjani. Kwa viwango vya timu km As Vita haiwez kuwa na mchezaji mzuri wa viwango bora wakamuuza Yanga.Yanga wamenunua magarasa.

WANAYANGA WENZANGU tujiandae kisaikolojia mwendo wa sare umeanza rasmi na ndio utakuwa ushindi wetu.Ikibidi huu uongoz wa sasa wa hawa majamaa GSM uondolewe haraka sana ili kuinusuru Yanga yetu.Ni ushauri wangu.Hawa Simba wanatisha tukikutana nao hamuona tutahama 4G na kuingia 5G.POVU RUKSAAAA.
Kuhusu mpira hujui kitu, unaweza kujaribu kwenye taarabu utatoka.
 
Back
Top Bottom