IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Mh makonda ametoa ahadi kwa yanga kuwapatia eneo la kujenga uwanja kigamboni.
1.Najiuliza yanga ni taasisi ya serikali?
2.Mamlaka ya kuipa eneo mh Rc anayatoa wapi?
3.kuna uhusiano gani kati ya yanga na ccm? coz kikao kimekuwa km kampeni ya kugombea madaraka.
1.Najiuliza yanga ni taasisi ya serikali?
2.Mamlaka ya kuipa eneo mh Rc anayatoa wapi?
3.kuna uhusiano gani kati ya yanga na ccm? coz kikao kimekuwa km kampeni ya kugombea madaraka.