Yanga nina suluhisho kwenu kuhusu nafasi za Haji Manara na Ali Kamwe

Yanga nina suluhisho kwenu kuhusu nafasi za Haji Manara na Ali Kamwe

clinician

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
2,098
Reaction score
4,926
Kufuatia kinachoendelea pale Yanga kuhusu kurejea kwa Manara katika nafasi yake ya usemaji wa Club,ninashauri Yanga wafanye kama ifuatavyo:

1. Sababu Ali Kamwe amefanya kazi nzuri ya usemaji wa Club katika kipindi chote ambacho Manara alikuwa katika kifungo, basi nashauri abaki kwenye nafasi yake ya usemaji upande wa masuala ya kimichezo na hamasa za uwanjani.

2. Kwa sababu Manara ni msemaji na mhamasishaji mzuri, nashauri Yanga wampe nafasi ya Uhamasishaji upande wa ukuzaji wa matawi, kuongeza wanachama na kuhamasisha malipo ya ada za wanachama.

Kiufupi ahangaike na ukuaji wa timu kimapato.

PIA SOMA
- Utata Kati ya Haji Manara na Ali Kamwe: Hofu na Athari za Uamuzi wa Kurejea kwa Manara kama Msemaji wa Yanga
 
he is not needed.

akiludi hersi ajiandae , I know, I will get funding to outed him and manara ,
we can't allow illiterate person in yanga or simba at this level.

vita atainza hapo manara akitambulishwa au kupewa cheo chochote.

illiteracy days are over. we don't want him near any big club.
 
he is not needed.

akiludi hersi ajiandae , I know, I will get funding to outed him and manara ,
we can't allow illiterate person in yanga or simba at this level.

vita atainza hapo manara akitambulishwa au kupewa cheo chochote.

illiteracy days are over.
Vita nani na nani? Kwani manara ana umuhimu gani wa namna hiyo.ndani ya Yanga?
 
he is not needed.

akiludi hersi ajiandae , I know, I will get funding to outed him and manara ,
we can't allow illiterate person in yanga or simba at this level.

vita atainza hapo manara akitambulishwa au kupewa cheo chochote.

illiteracy days are over.
Asante kwa mchango wako, ila inawezekana wewe ukawa Shabiki wa timu hasimu wa Yanga mko na kampeni ya kuzua taharuki ndani ya Yanga, mawazo yangu tu.
 
Asante kwa mchango wako, ila inawezekana wewe ukawa Shabiki wa timu hasimu wa Yanga mko na kampeni ya kuzua taharuki ndani ya Yanga, mawazo yangu tu.
wantangaze manara , we see if Hersi can really lead.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Kufuatia kinachoendelea pale Yanga kuhusu kurejea kwa Manara katika nafasi yake ya usemaji wa Club,ninashauri Yanga wafanye kama ifuatavy...
Kuna nafasi 2 pale.
Mkuu wa idara ya habari ya Yanga. (idara ya habari inahusisha mpaka media platforms za Yanga.)
Msemaji wa Yanga. (kutoa taarifa rasmi za Yanga)
 
Kufuatia kinachoendelea pale Yanga kuhusu kurejea kwa Manara katika nafasi yake ya usemaji wa Club,ninashauri Yanga wafanye kama ifuatavy...
Yes manara awe anasubiri siku za mechi kubwa azunguke mitaani na Yale malori yanayofanya promotion, akiwa na kispika. Asiruhusiwe kupitisha press conference kama yeye Bali jukumu hilo apewe kamwe
 
Umuhimu wa Haji Manara ni siku ya kilele tu cha Mwananchi. Na hasa kwenye zoezi la utambulisho. Nje ya hapo, naona kwa upande wangu hana faida/umuhimu wowote ule kwenye klabu.
 
Sijaelewa

Mbona Ali Kamwe yuko vizuri sana na yuko more proffesinal tofauti na Manara mswahili

Kwa sasa kwa position aliyonayo Ali Kamwe yuko vizuri sana ikitiliwa maanani asilimia kubwa ya wanayanga ni vijana kama ambavyo hata takwimu za sensa zinasema asikimia kubwa ya population ni vijana

Ali Kamwe yuko fit tena mno ..yanga haihitaji babu oa na kuacha wake kika uchao na kuomba michango ya kuoa kila uchao
 
Back
Top Bottom