Yanga nina suluhisho kwenu kuhusu nafasi za Haji Manara na Ali Kamwe

Yanga nina suluhisho kwenu kuhusu nafasi za Haji Manara na Ali Kamwe

Kufuatia kinachoendelea pale Yanga kuhusu kurejea kwa Manara katika nafasi yake ya usemaji wa Club,ninashauri Yanga wafanye kama ifuatavyo:

1. Sababu Ali Kamwe amefanya kazi nzuri ya usemaji wa Club katika kipindi chote ambacho Manara alikuwa katika kifungo, basi nashauri abaki kwenye nafasi yake ya usemaji upande wa masuala ya kimichezo na hamasa za uwanjani.

2. Kwa sababu Manara ni msemaji na mhamasishaji mzuri, nashauri Yanga wampe nafasi ya Uhamasishaji upande wa ukuzaji wa matawi, kuongeza wanachama na kuhamasisha malipo ya ada za wanachama.

Kiufupi ahangaike na ukuaji wa timu kimapato.

PIA SOMA
- Utata Kati ya Haji Manara na Ali Kamwe: Hofu na Athari za Uamuzi wa Kurejea kwa Manara kama Msemaji wa Yanga
Tusipindishe maneno HAKUNA Sababu ya team ya mpira wa miguu kuwa na msemaji ,inapaswa kuwa na idara ya habari ,msemaji wa team ni coach au manager ,tuchukue mifano kwa club nje ya Tanzania.
 
Mimi nina suluhisho ambalo najua ndiyo njia pekee ya kuepusha mgogoro huu unaochipuka ila sitalisema, nataka wavurugane huko kusikalike kabisa.
 
he is not needed.

akiludi hersi ajiandae , I know, I will get funding to outed him and manara ,
we can't allow illiterate person in yanga or simba at this level.

vita atainza hapo manara akitambulishwa au kupewa cheo chochote.

illiteracy days are over. we don't want him near any big club.
Wewe uko upande wa mbumbumbu na English yako MBOVU
 
Kufuatia kinachoendelea pale Yanga kuhusu kurejea kwa Manara katika nafasi yake ya usemaji wa Club,ninashauri Yanga wafanye kama ifuatavyo:

1. Sababu Ali Kamwe amefanya kazi nzuri ya usemaji wa Club katika kipindi chote ambacho Manara alikuwa katika kifungo, basi nashauri abaki kwenye nafasi yake ya usemaji upande wa masuala ya kimichezo na hamasa za uwanjani.

2. Kwa sababu Manara ni msemaji na mhamasishaji mzuri, nashauri Yanga wampe nafasi ya Uhamasishaji upande wa ukuzaji wa matawi, kuongeza wanachama na kuhamasisha malipo ya ada za wanachama.

Kiufupi ahangaike na ukuaji wa timu kimapato.

PIA SOMA
- Utata Kati ya Haji Manara na Ali Kamwe: Hofu na Athari za Uamuzi wa Kurejea kwa Manara kama Msemaji wa Yanga
Good thinking
 
Kufuatia kinachoendelea pale Yanga kuhusu kurejea kwa Manara katika nafasi yake ya usemaji wa Club,ninashauri Yanga wafanye kama ifuatavyo:

1. Sababu Ali Kamwe amefanya kazi nzuri ya usemaji wa Club katika kipindi chote ambacho Manara alikuwa katika kifungo, basi nashauri abaki kwenye nafasi yake ya usemaji upande wa masuala ya kimichezo na hamasa za uwanjani.

2. Kwa sababu Manara ni msemaji na mhamasishaji mzuri, nashauri Yanga wampe nafasi ya Uhamasishaji upande wa ukuzaji wa matawi, kuongeza wanachama na kuhamasisha malipo ya ada za wanachama.

Kiufupi ahangaike na ukuaji wa timu kimapato.

PIA SOMA
- Utata Kati ya Haji Manara na Ali Kamwe: Hofu na Athari za Uamuzi wa Kurejea kwa Manara kama Msemaji wa Yanga
Wee, akae kwenye kuhamisha ADA?manara? unamjua unaskia......ni afazali aondoke sio kumpa iyo kazi
 
Kufuatia kinachoendelea pale Yanga kuhusu kurejea kwa Manara katika nafasi yake ya usemaji wa Club,ninashauri Yanga wafanye kama ifuatavyo:

1. Sababu Ali Kamwe amefanya kazi nzuri ya usemaji wa Club katika kipindi chote ambacho Manara alikuwa katika kifungo, basi nashauri abaki kwenye nafasi yake ya usemaji upande wa masuala ya kimichezo na hamasa za uwanjani.

2. Kwa sababu Manara ni msemaji na mhamasishaji mzuri, nashauri Yanga wampe nafasi ya Uhamasishaji upande wa ukuzaji wa matawi, kuongeza wanachama na kuhamasisha malipo ya ada za wanachama.

Kiufupi ahangaike na ukuaji wa timu kimapato.

PIA SOMA
- Utata Kati ya Haji Manara na Ali Kamwe: Hofu na Athari za Uamuzi wa Kurejea kwa Manara kama Msemaji wa Yanga
Nadhani huu ushauri wako ndio ufanyiwe kazi ili kuondoa migogoro ktk hy Idara
 
Nadhani huu ushauri wako ndio ufanyiwe kazi ili kuondoa migogoro ktk hy Idara
nope sio mzuri

manara will leak information and management issues once he is released or contract terminated. in short manara shouldn't return at yanga at all.

I promise you akiludi we attack at mid night
 
Asante kwa mchango wako, ila inawezekana wewe ukawa Shabiki wa timu hasimu wa Yanga mko na kampeni ya kuzua taharuki ndani ya Yanga, mawazo yangu tu.
Sisi wenye Yanga yetu hatumtaki Manara.

Mtu wa Simba hawezi kuwa Yanga msidanganyike.

Na hata hilo tukimezea bado tabia zake Manara hazimbebi ana tabia mbovu kabisa.

Nitashangaa yani kijana smart kama Ally kamwe umletee vichaa kama Manara halafu anataka kujionesha yeye ndio yuko juu.

Kamati ya utendaji waliangalie kwa makini jambo wamkumbatie Manara au wapoteze mashabiki.
 
Kufuatia kinachoendelea pale Yanga kuhusu kurejea kwa Manara katika nafasi yake ya usemaji wa Club,ninashauri Yanga wafanye kama ifuatavyo:

1. Sababu Ali Kamwe amefanya kazi nzuri ya usemaji wa Club katika kipindi chote ambacho Manara alikuwa katika kifungo, basi nashauri abaki kwenye nafasi yake ya usemaji upande wa masuala ya kimichezo na hamasa za uwanjani.

2. Kwa sababu Manara ni msemaji na mhamasishaji mzuri, nashauri Yanga wampe nafasi ya Uhamasishaji upande wa ukuzaji wa matawi, kuongeza wanachama na kuhamasisha malipo ya ada za wanachama.

Kiufupi ahangaike na ukuaji wa timu kimapato.

PIA SOMA
- Utata Kati ya Haji Manara na Ali Kamwe: Hofu na Athari za Uamuzi wa Kurejea kwa Manara kama Msemaji wa Yanga
Mkurugenzi wa matawi yupo na mwenezi yupo.

Manara haaminiki.

CCM wenyewe hawamwamini. Ni chawa mpiga domo kinoma, havumiliki
 
Yes manara awe anasubiri siku za mechi kubwa azunguke mitaani na Yale malori yanayofanya promotion, akiwa na kispika. Asiruhusiwe kupitisha press conference kama yeye Bali jukumu hilo apewe kamwe
Hilo jua na ngozi yake!
 
Back
Top Bottom