Yanga Princess kuandamana kudai malipo yao

Yanga Princess kuandamana kudai malipo yao

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
5686299a52884e24bab5122757b81213_353583615_974811316890921_5005974797562498938_n.jpg


My Take
Utopolo ni kikundi cha wahuni
 
Kuendesha timu za wanawake hakuna faida maana hawazalishi chochote kile.

Wanawake hawapaswi cheza mpira
Inalipa ukiwekeza ukawa mvumilivu. Fountain Gate, Simba wote wameshapiga pesa kwa wanawake. Tanzania tulitakiwa tuweke nguvu zaidi kwenye soka la wanawake maana huku kwa wanaume kuna upuuzi mwingi. Wanawake wangeweza kutuheshimisha.
 
Siku Feisal anahojiwa na Clouds kuhusu sakata lake na Yanga kabla ya Mh Rais kuingilia kati,wachezaji wote wa Yanga Princess walipost kwenye mitandao kuwa wanalipwa kwa wakati na hawadai chochote.

Iweje leo watake kuandamana? Ile ni Propaganda?

Kweli Yanga na CCM ni wale wale. Wendawazimu.
 
Simba queens watumie mwanya huu kupita na Amina billal....huyo ndie mchezaji bora pekee aliebakia pale yanga princess
 
Back
Top Bottom