Yanga Princess kuandamana kudai malipo yao

Yanga Princess kuandamana kudai malipo yao

Wizara ya Michezo na soka la Wanawake mko hapa........,

Hili nalo mkalitazame......, Haiwezekani kamanagment ka kihuni kaliko chini ya muhuni kafanye ujinga kama huu huku mwenyekiti wao anadandia malori kila siku na kuzunguka mtaani kupiga kelele.....

Hatuwezi kudhalilishwa na na uhovyo wa mtu mmoja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Kuendesha timu za wanawake hakuna faida maana hawazalishi chochote kile.

Wanawake hawapaswi cheza mpira
Ila caf wametoa tamko,bila timu za wanawake timu itakuwa haujafuzu kucheza michuano ya caf.
 
Ni saa 7 mchana hii, mleta uzi tupe mrejesho. Maandamano yaliendaje?
Maana mmeshindwa timu ya wanaume, mmehamia ya wanawake.
Tupo hapa tunashuhudia wachezaji wenu Mwajuma Ndala Ndefu na shoga zake wanakiwasha katika jukwaa lile lile lililotumiwa jana na Mr. Zuchu.

Hii ni part 2 baada ya ishu ya Fei kumalizwa kwa wali samaki. Kama movie za Steps vilee tunategemea muendelezo hadi part 5.
 
Mei 6 niliandika humu kuwa tajiri mpunga umekata wajinga wakaniita mjinga
 
Back
Top Bottom