dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
pale kuna wazee tu wanakunywa kahawa,wanatafuta kulogwa tu hawa mabinti...waende Salamanda kule hapo Jangwani akuna ofisi watakuta mbuzi tu wanapunga upepo wa mto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pale kuna wazee tu wanakunywa kahawa,wanatafuta kulogwa tu hawa mabinti...waende Salamanda kule hapo Jangwani akuna ofisi watakuta mbuzi tu wanapunga upepo wa mto.
Hahahaha, jamaa katika ule uzi ndio nilijua ni mbumbumbu, kichwa empty, hapa tena kaleta uzi ,source Issa Mbuzi hahahahaTakwimu za Kibudu Vs Mayele [emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061]
Hahahaha, kwenye siasa jamaa ni mbumbumbu, katika mpira ni mbumbumbu Square, dah ,hz huwa anawaza nn kuanzishaga nyuzi za kiboya boyaSwala la bandari umefikia wapi?
Kichaa ukisha mfahamu tabia yake haina haja kugombana Naye.unamchukulia jinsi alivyo.Hahahaha, jamaa katika ule uzi ndio nilijua ni mbumbumbu, kichwa empty, hapa tena kaleta uzi ,source Issa Mbuzi hahahaha
wale wazee wana watu,mabinti wakizingua wataveshwa nguo nyeupe😂😅pale kuna wazee tu wanakunywa kahawa,wanatafuta kulogwa tu hawa mabinti...
Ila caf wametoa tamko,bila timu za wanawake timu itakuwa haujafuzu kucheza michuano ya caf.Kuendesha timu za wanawake hakuna faida maana hawazalishi chochote kile.
Wanawake hawapaswi cheza mpira
Ni sawaIla caf wametoa tamko,bila timu za wanawake timu itakuwa haujafuzu kucheza michuano ya caf.
Samia ni zaidi ya CAS,akisema tu linatekelezwa kesho[emoji38]Hatuhitaji CAS, Mama akihitaji tu mrejesho haki inapatikana kirahisi kabisa [emoji16]
Tupo hapa tunashuhudia wachezaji wenu Mwajuma Ndala Ndefu na shoga zake wanakiwasha katika jukwaa lile lile lililotumiwa jana na Mr. Zuchu.Ni saa 7 mchana hii, mleta uzi tupe mrejesho. Maandamano yaliendaje?
Maana mmeshindwa timu ya wanaume, mmehamia ya wanawake.
Atakua yupo kwenye maandamanoNi saa 7 mchana hii, mleta uzi tupe mrejesho. Maandamano yaliendaje?
Maana mmeshindwa timu ya wanaume, mmehamia ya wanawake.