NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Ukweli mmoja wa wazi wa mpira ule wa kiufundi uliopigwa na azizi unadhihirisha ubora wa bao lenyewe.Lakini hauwezi kuficha magoli ya ajabu na ya kufikirisha yanayoendelea kutokea.Niitwe niitwavyo kuna uchafu sehemu.Ina maana makipa wote waliofungwa na Yanga wamepewa hela..?? Tuambie Manula alipewa shilingi ngapi…!!!
🤣🤣🤣🤣🤣 Manula hakufungwa alitaka kutolewa rohooIna maana makipa wote waliofungwa na Yanga wamepewa hela..?? Tuambie Manula alipewa shilingi ngapi…!!!
Tunaongelea Nbc premier LeagueVipers, Al Hilal walicheza mwaka majuzi
IhefuTunaongelea Nbc premier League
Yanga ikishinda imenunua!...nyie si mnafunga goli 7,6 mbona hatuongei?Ila kwa lile goli gsm wanatuharibia sana mpira wetu khaaa
Hizi coincidences zimekuwa nyingi mno. Mara wapewe penalty kwa makosa ya nje ya box. Hivi Uto wanajionaje kupata ushindi wa namna hii karibu kila siku tena haya magoli mara nyingi ndiyo yanayoamua mechi.
Yanga ina timu nzuri kwa maana ya maelewano ya kitimu uwanjani unayaona yapo ila magoli yao aisee.
huyo Morrison bado unahesabu ni mchezaji wenu?~ Yannick bangala
~ Khalid aucho
~ Benard Morisson
~ Faisal salum
~ Aziz K stephane
Muamala ulishasoma kwa kipa au hukuangalia gameYanga ikishinda imenunua!...nyie si mnafunga goli 7,6 mbona hatuongei?
Kwa hiyo unataka kusema Simba wanafanya njama na wachezaji wa timu pinzani ili kuwaumiza wachezaji wa Simba ambao baada ya kuumizwa inabidi wakae nje ya uwanja wiki kadhaa?Embu hesabu hizo coincidences kwa huu msimu zimetokea mara ngapi ukilinganisha na Simba? Lile goli la mlilipata dhidi ya Singida umeona kipa alichokifanya ila hampigi kelele kwasababu mnaona mpira ni mchezo wa makosa kipa kakosea. Ile mchezaji wa Prison katoa pasi kwa Sakho tena golini kabisa hilo kwenu ni mpira wa makosa ila kwa Yanga ilitokea ni mashaka. Wachezaji kwenye mechi muhimu wanafanya ujinga wa kupata kadi nyekundu mapema kabisa ila ingekuwa kwa Yanga lingeangaliwa kwa jicho la mashaka. Mpira usiwe mchezo wa makosa kwa timu zingine tu isipokuwa Yanga.
Ila wewe ni mtata sana. Kasema wamefungwa na timu moja tu. Ukasema kina vipers, akajibu NBC bado unaulizia ihefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ihefu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huyo Morrison bado unahesabu ni mchezaji wenu?
[emoji848][emoji848]Muamala ulishasoma kwa kipa au hukuangalia game
sema yule kisinda singida big stars hapati namba hata benchi hawezi pata nafasi ya kukaaIkiwa na wachezaji watano wanaoanza pungufu leo tumefanikiwa kujipatia pointi tatu muhimu.
Yanga leo imecheza bila nyota wake tegemezi watano.
~ Yannick bangala
~ Khalid aucho
~ Benard Morisson
~ Faisal salum
~ Aziz K stephane
Pongezi kwa wageni wetu Kennedy Musonda na Mudathir kwa ku click moja kwa moja kwenye kikosi utadhani wamekua pale Avic town kwa mwaka mzima!
Ushauri kwa mwalimu Nabi, sasa ni wakati muafaka wa kutumia washambuliaji wawili kwa wakati. Tuisila, Ambundo na Faridi waongeze utulivu na umakini hasa wanapokua ndani ya box.
Utendaji wa Benard morisson ufuatiliwe kwa ukaribu, leo ana cheza, mechi ijayo anaumwa, anacheza mechi tatu mechi ya nne yupo Ghana.
Kila la kheri Yanga, Daima mbele..
Hakika yajayo yanafurahisha.
Why not?huyo Morrison bado unahesabu ni mchezaji wenu?
Ihefu Ndio katufunga yeye pekee ktk ligi hii ila na sisi tumempigizaIhefu
Basi itoshe kusema mmeshafungwaIhefu Ndio katufunga yeye pekee ktk ligi hii ila na sisi tumempigiza