OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
wakati mnakesha tff umesahau mkuuWamejazana Airport kuwapokea wakongo inaonekana wengi hawana shuguri ya kufanya
mbona unaumia Sana, yahani ushamba wa yanga nyie mikia mnaumia.Yanga wamemtambulisha CEO Kivuli Senzo aliyekuwa Simba SC. Katika utambulisho wameonyesha ujuzi wa bosi huyo pamoja na timu alizopitia.
Yanga imefanya jambo la aibu kwa kuonyesha timu zote alizopitia isipokuwa Simba Sc timu ambayo alikuwa kabla ya kuajiriwa na Yanga.
Hii inatia kinyaa,hakika aliyewapa jina la Utopolo anastahili tuzo
My Take: Huwezi kufanikiwa kwa kumchukia aliye juu yako
Waliokuwa wanakesha tff si upotolo wenzako walioaminishwa mkataba fekiwakati mnakesha tff umesahau mkuu
walioshangalia nao ni yanga mkuuWaliokuwa wanakesha tff si upotolo wenzako walioaminishwa mkataba feki
Nahatimame utopolo wamepata kombe lao
Acha uongo, huyu alikuwa CEO kwenye kampuni inaitwa Simba sportsHapo Simba alikua field tu ndiyo maana hatujaitaja.
Sio professionalism. Yanga bado ya kienyeji sanaHuku nikuwashwa na yajirani yako!! Sio lazima kutajwa Simba km imekupenya itisha press sema Senzo alipita na Simba[emoji23], kuwashwawashwa kwanini??