OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yanga imefanya jambo la aibu kwa kuonyesha timu zote alizopitia isipokuwa Simba Sc timu ambayo alikuwa kabla ya kuajiriwa na Yanga.
Hii inatia kinyaa,hakika aliyewapa jina la Utopolo anastahili tuzo
My Take: Huwezi kufanikiwa kwa kumchukia aliye juu yako