Akili za mashabiki wa Yanga na Simba zinafana tu. Mwaka jana kwenye Simba day mashabiki na wapenzi wa timu ya Simba walianza kujazana uwanjani tokea asubuhi halafu ilikuwa ni siku ya kazi siku hiyo. Sasa jiulize hao nao hawakuwa na shughuli za kufanya?Wamejazana Airport kuwapokea wakongo inaonekana wengi hawana shuguri ya kufanya
ndio utopolo wenyewe hawaAcha uongo, huyu alikuwa CEO kwenye kampuni inaitwa Simba sports
Uto ndio waliokesha pale TFF. Ushahidi wa dhahiri ni yule aliyezimia baada ya hukumu kutangazwawakati mnakesha tff umesahau mkuu
ni utopoloUyu nani
Huu naufananisha na huu hapa.
walishangilia hukuwepo mkuuUto ndio waliokesha pale TFF. Ushahidi wa dhahiri ni yule aliyezimia baada ya hukumu kutangazwa
Utopolo hao.....Wamejazana Airport kuwapokea wakongo inaonekana wengi hawana shuguri ya kufanya
Hawa upotolo kwenye mechi zao hawaonekani ila kwenye shuguri kama hizi za kukaa juani bila kulipia wapo kwa wingi
Manyani fc wamemiss kubeba makombe wameanza kubeba watu
Ninyi mnajisahaulisha morisumuYanga wamemtambulisha CEO Kivuli Senzo aliyekuwa Simba SC. Katika utambulisho wameonyesha ujuzi wa bosi huyo pamoja na timu alizopitia.
Yanga imefanya jambo la aibu kwa kuonyesha timu zote alizopitia isipokuwa Simba Sc timu ambayo alikuwa kabla ya kuajiriwa na Yanga.
Hii inatia kinyaa,hakika aliyewapa jina la Utopolo anastahili tuzo
My Take: Huwezi kufanikiwa kwa kumchukia aliye juu yako
Misukule nyie wajinga sanaYanga haikuwa na haja ya kuichafua CV yake.
Mtauona moto wa Yanga nusu karne zaidiYanga ni watu wa ajabu, laana ziwaangukie.
Soma kwanza nilichoandika, halafu ndiyo ujibu.Misukule nyie wajinga sana
Yanga ni timu kubwa na senzo yupo kwa ajiri ya kusaidia tu mabadiriko ya kimfumo
Inakuaje mnabusu magoti ya mchezaji yaani ni watu angeenda juu ya magoti kubusu hahahahSoma kwanza nilichoandika, halafu ndiyo ujibu.
Najua unaharisha, ila tulia kidogo.