mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh 🙄 !!Viongozi wa Yanga wameyapata haya mafanikio siyo kwa bahati mbaya. Wako serious ktk kusajili wachezaji na hata uwekezaji wao hauna mizengwe.
Upande wa pili (Simba SC) wana la kujifunza, maana wao kuanzia uwekezaji mpk usajili umejaa janja janja tu. Derby ya Kariakoo inayofuata Simba watapigwa 10