wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Huko mwanza hali sio shwari kwa wanajangwani. Sare dhidi pamba sio habari sana maana uwezo wa timu bado tia maji tia maji.
Hapa nazungumzia kuchangisha fedha taslimu tshs milioni 4 na ahadi za milioni 6.
Jumla ikiwa ni tshs milioni kumi.
Idadi ya watu wanaotajwa kuhudhuria ni takribani watu mia sita ( 600).
Kwa uwiano huu inaashiria huko kanda ya ziwa hasa kwa mashabiki wa yanga vyuma vimekaza hivyo hamna namna ya kubadili matokeo ama la mashabiki wamechoka na hii tabia ya omba omba.
Cc: vodacom na red logo yetu.
Hapa nazungumzia kuchangisha fedha taslimu tshs milioni 4 na ahadi za milioni 6.
Jumla ikiwa ni tshs milioni kumi.
Idadi ya watu wanaotajwa kuhudhuria ni takribani watu mia sita ( 600).
Kwa uwiano huu inaashiria huko kanda ya ziwa hasa kwa mashabiki wa yanga vyuma vimekaza hivyo hamna namna ya kubadili matokeo ama la mashabiki wamechoka na hii tabia ya omba omba.
Cc: vodacom na red logo yetu.