kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Bahasha not allowed hapa hawapati kituNipo nimekaa paleee[emoji1542][emoji1542][emoji1542]
😂😂😂 kumbe mtunisia mwenzanguJamaa usiku huu watapost msimamo wa NBC PL KUJINUSURU NA PRESHA
ZimiaWanapoteza muda😢
Ntakua wa kwanza kushangaa kama Utopolo watambakisha huyu kocha,mechi za kimataifa ni ya Zalan tu ndo kashinda tena kwasababu Zalan ni vibonde mechi zingine zote kafungwa na kadroo.Hahahaha naskia kaja na begi na Ali libeba Morrison kutokea kwake.