Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] Refa malizaaaaaaaaaaa tunakaa Mbali
 
Mauweee
giphy.gif
 
Hahahaha naskia kaja na begi na Ali libeba Morrison kutokea kwake.
Ntakua wa kwanza kushangaa kama Utopolo watambakisha huyu kocha,mechi za kimataifa ni ya Zalan tu ndo kashinda tena kwasababu Zalan ni vibonde mechi zingine zote kafungwa na kadroo.

au labda kwasababu malengo ya Yanga sio kimataifa basi wambakishe tu.
 
Mimi shabiki wa Club Africain naumia sana kutoka suluhu na yanga...
 
Back
Top Bottom