Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Mayele aishie kuwafunga Ihefu na Simba na kutetema basi.
Ndio malengo ya Yanga ya Msimu.
Ndio malengo ya Yanga ya Msimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa Kayoko na RajigaMechi ya leo angechezesha refa mtanzania, yeyote yule.
Yanga ingeshinda 6:0
Ili kuendeleza unbitten yao.
mwaka huu itakua zero (0) mkuu, maana zile ni miaka 5 nyuma ambapo sasa tupo mwaka wa 6 kimashindano,Kwa hiyo mnataka kuniambia wanabaki na zile 0.5 points
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mwaka huu itakua zero (0) mkuu, maana zile ni miaka 5 nyuma ambapo sasa tupo mwaka wa 6 kimashindano,
watahesabu 18/19, 19/20, 20/21, 21/22, na huu wa 22/23 ambapo yanga miaka hio yote hayaingia makundi hata ya shirikisho!
Muhammad AllyKikosi kinachoanza cha klabu African
١ محميد على
٢ رشيد بن سعيد
٣ سليمان بن محمد
٤. محمد منصور
٥ عمران حسين
٦ عيسى بن سلطان
٧ حالس عيوب
٨ ياسن ساالم
٩ سمير ناسر
١٠ فهد حسين
١١عبدالله إبن خزيم
Nasor HamadSubtitute
١ ناصر حماد
٢ شبرات امير
٣. سعيد مولد
٤. جمعة شاكر
٥. مصطفى سعود
٦. علي جابر
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Haingii uwanjani so yupo hapo Yanga kufundisha Mapambio au!?
[emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]imebdi nicheke ,maana yeye mwenyewe mshabiki afu anatoa ushauri kaahh kwa kua katepeta Leo siku akishinda haongei hayooUnatia huruma mpaka unaonekana una busara
nyinyi ni wabovu subiri muwapokee wageni tu
Kuna namna viongozi wetu wabadilike.
Hii club ishakua kongwe sasa na kubwa katika ndani ya mipaka ya nchi.
Sitaki kuamini kama hii mechi hakukua na mpango maalumu wala wa kueleweka.
Kuna jinsi ambavyo viongozi wanatakiwa wawajibike.
Yanga akomae ahame upande wa loser ahamie upande magiant alipo simba, msimu mmoja amuotee mkubwa mmoja ampige aingie makundiYanga ina kikosi kizuri kuliko Simba, ila sijui nini huwakuta kimataifa
Huyu Al hilal ni level za simba na yanga ni basi tu yanga hakuchanga karata zake vizuri, huyu Al hilal akufa bao4 kwa simbaAl hilal ni timu nzuri huna uwezo hata wa kupata goli moja, africaine ndo huwawezi kabisa, wafunge Mbabane swallows, big bullets, de agosto
Acheni kumsingizia na kumwonea Nabi. Hilo timu ni bovu tu, sema Nabi kajitahidi kulitengeneza had likatwaa ubingwa wa ligi mwaka jana japo kwa bahashaNabi ni double agent, kule ni kwako ...kawauza
Ila inasikitisha sana Mtani.Sasa mtani kwa vile mmeshatimuliwa kimataifa mwacheni tu aendelee na unbeaten yake huku NBC.
Maana hata mkifukuza sasa hivi haisadii. Ila tambueni pia ubingwa wa NBC hapati na hapo sasa ndio mfukuze.
Mzima wewe?pole dadaIla inasikitisha sana Mtani.
Hizi ndio Level za Yanga sasa. Mtaniambi tarehe 9. Yaweza kuwa hat Kipanga akawa bora zaidi ya huyuUsimcheke kipanga kabla hujavuka mto.