Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Sometimes Simba anaweza kupotia nyakati ngumu timu haina muunganiko haichezi katika kiwango kizuri lakini linapokujaa swala la CAF inakuwa ni habari nyingine

Hata mpinzani akiwa na kikosi kizuri kuliko Simba anaweza kupoteza mchezo kutokana na ule woga wa kujua anacheza na timu yenye title gani Africa

Al Hilal walipokuwa wanajiandaa kukutana na Yanga waliomba mechi ya kirafiki na Tp Mazembe

Mazembe akawavaliaha jezi wachezaji wa timu ndogo ya mtaani huku Al Hilal asijue, lakini mwisho wa siku Al Hilal alipasuka bao 3

Club Africain wangecheza na Simba leo hii tungetegemea kusikia maneno ya mashabiki wa Yanga kuwa "mlipangiwa na vibonde"
Simba mechi ya leo angemaliza mapema sana hii
 
Nabi huyooo [emoji23]
JamiiForums-288297360.gif
 
Daah Yanga mnavunja moyo sana daah sina hamu kabisa kuwashabikia.
Mnakubalije kuwa wa mchangani siku zote.
Wanaume wanaupiga mwingi kimataifa ninyi mmeridhika mchangani? Aaaaah.

Inatosha
 
Hakika Mkuu. Japo napata uzito kusema kule tunaeza pata matokeo yenye kutuvusha hatua inayofuata.
Mvuke kwenda wapi? Avic Town au?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Makundi yenu n WhatsApp, telegram na Facebook.

Wapiiiiii mtaniiiiiiiiiiii!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni improvement kubwa kwa Yanga mwaka jana alicheza mechi mbili za mashindano na alipoteza nyumbani na ugenini lakini mwaka huu amecheza mechi tano mpaka sasa ameshinda mbili, ametoa sare na suluhu 2 amepoteza moja!!! Tuwe na shukran na kila hatua tunayopiga jamani sisi binadamu!!
We ndiyo umeongea pointi,Yanga akiendelea hivi misimu mitatu mfululizo atafika mbali
 
Bora ingeanguka tu Mtani. (Jokes)

Nawaza hivi tungefungwa mngekuwa na hali gani nyie. Lol
Yaan mtani mngefungwaaa leo, mbna ningewehuka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Kimataifa mtasikia redion tyuuh.
 
Nabi akienda tunisia mechi ya marudiano asirudi bongo.. Abaki huko kwao
 
Ni kweli lakini usiifananishe Kipanga na Yanga bana.
Sasa mtani Yanga na kipanga ina utofauti gani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We ndiyo umeongea pointi,Yanga akiendelea hivi misimu mitatu mfululizo atafika mbali
Nabi amekaa na timu muda wa kutosha sana, halafu kumbuka Nabi anasaidiwa na Kaze ambaye alikuwa kocha mkuu, kwa lugha rahisi Yanga tuna makocha Wawili wenye hadhi sawa.

Mpira wa Africa kupata matokeo ugenini ni Mara chache sana lakini mechi unatakiwa umalize nyumbani.
 
We ndiyo umeongea pointi,Yanga akiendelea hivi misimu mitatu mfululizo atafika mbali
Inategemea sasa Mkuu wachezaji hawa tunaowaona sasa watakuwepo kipindi hicho?

Mie huwa naona unapokuwa na kikosi kizuri ndo wakati wa kufanya vizuri pia sababu hiyo miaka miwili sijui mitatu ya kusema tutafika mbali si ajabu wachezaji hawa wote hata wasiwepo tukawa na wengine wapya ambao mwisho wa siku tutasema hawajazoweana.
 
Bado, save hii comment, vile vifo unavyovisikia vya mkanyagano kwenye nchi za wenzetu mtakuja kuvishuhudia live Tanzania, naandika kitu ninachokijuwa vizuri.

Hizi timu mbili zinamilikiwa na Ccm na imefaulu kuwapumbaza Watanzania.
Unatia huruma mpaka unaonekana una busara
nyinyi ni wabovu subiri muwapokee wageni tu
 
Back
Top Bottom