Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Utopolo mtajua hamjui..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa walilipwa pia na Yanga wakati wanacheza na SimbaHawa mbeya City kama wamelipwa na Simba
Kwani simba wao wameamua kushinda mechi zote zilizobaki? Usihitimishe, mapema sana bado, msimu upo mzunguko wa kwanza mdo unaishia.Nawakumbusha TU yanga
Leo mnapoteza point 2
Simba mdogo mdogo anakuja
Mkishtuka tayari mnakairibiwa
Mtacheza kwa presha kila mechi
BADO POINT 8 .......
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wapi hukoUmeme umekatika huku, vipi hao utopolo wamepata kagoli?
KazuramimbaWapi huko