Hahahahaa hapana mkuu, nimegundua ni dogo, haiwezekani wakati Simba anapata ushindi wa 5-0 dhidi ya yaga aseme alikuwa hajitambui bado.[emoji1787] unataka mgao nini mkuu [emoji1787]
yaaaniAaah yanga goli hata mojaaaa
Bro unajipa sana matumaini.Dah ... Hii ni Pumzi Ya Moto....Half ground hapa.
Inonga na mitetemo wapi na wapiHahaaa leo no kutetema
Nice one.