Yanga SC 1-1 KMC | VPL | Mkapa Stadium

Yanga SC 1-1 KMC | VPL | Mkapa Stadium

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
00' Mpira unaanza kwenye dimba la Mkapa

28' Greyson David anaachia mkwaju na kuiandikia KMC bao la kwanza

36' Chars Iyanja anashindwa kuingozea KMC bao la pili baada ya kubaki yeye na goli, mlinda mlango FaruqShikalo alijaribu kutoka kuuwahi mpira lakini aliukosa

45+2' Mapumziko

46' Yaqub anaisawazishia Yanga kwa mpira wa kichwa baada ya mkwaju maridadi wa adhabu ndogo kutoka kwa Seydou

89' Mlinda mlango wa KMC, Juma Kaseja yuko chini baada ya kuumia katika harakati za kuokoa

90+4' Masoud Abdallah anapewa kadi ya pili ya njano na anakwenda nje

90+6' Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwisho wa mchezo, Yanga SC 1-1 KMC
=========


172110830_3965790263442343_5283562826937198663_n.jpg





Utopolo Al-Albadr FC wapo uwanjani wakimenyana na KMC ya Kinondoni.

Ninakuletea udondozi nikiwa kibanda uzima
 
Hivi ni kwa nini mashabiki wa Yanga hatuanzishagi nyuzi Timu yetu inapocheza ili tulio mbali na Radio na TV tutumie jukwaa hili kufuatilia Timu yetu!
Kwa nini tusubiri Hawa jamaa wa Champions League ya kibahatisha ndio watuanzishie !
By the way hivi kile kisomo Al BADRI kwa wabaya wetu ni lini ili tuwanyooshe!!
 
Hivi ni kwa nini mashabiki wa Yanga hatuanzishagi nyuzi Timu yetu inapocheza ili tulio mbali na Radio na TV tutumie jukwaa hili kufuatilia Timu yetu!
Kwa nini tusubiri Hawa jamaa wa Champions League ya kibahatisha ndio watuanzishie !
By the way hivi kile kisomo Al BADRI kwa wabaya wetu ni lini ili tuwanyooshe!!
Kubahatisha robo fainali na hatuishii hapo tulieni muone.
 
Back
Top Bottom