Yanga SC 1-1 KMC | VPL | Mkapa Stadium

Yanga SC 1-1 KMC | VPL | Mkapa Stadium

teams ni 4 boss lazima utopolo watakuwepo simba yuko busy kuwapambania huko duniani..na simba akifika nusu fainali hata mwakani tutakuwa na teams nne mana points za TFF zitakuwa almost 32
Team ni nne, lakini zitakazoshiriki Champions League ni mbili, nyingine zinaenda Shirikisho. Nikichomaanisha mimi, ni bora Azam ndo awe wapili, Ili yanga aende Shirikisho, Ili kukwepa aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom