Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikuwa wote siku zote za mapambano
Si tulikubaliana hakuna yanga B wala A tangu mapinduzi cup au leo hamtaki manara fc aka utapu tapuYanga wamepeleka wachezaji wadogo kwenye mashindano wakapate uzoefu, 90% ya kikosi ni wachezaji wa U-20
Yanga wamepeleka wachezaji wadogo kwenye mashindano wakapate uzoefu, 90% ya kikosi ni wachezaji wa U-20
U20 unamaanishaje?Yanga wamepeleka wachezaji wadogo kwenye mashindano wakapate uzoefu, 90% ya kikosi ni wachezaji wa U-20
Hawakosi utetezi hawa utopologist!!U20 unamaanishaje?
Kabwili
Paul Godfrey
Shikalo
Waziri
Abundo
Ukonde
Ninja
Mahadhi
Na wengine
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mnasafirisha au mnazika hapa hapaTulikuwa wote siku zote za mapambano
Mwenzeeetu
Ndugu yeetu
Yanga
Yanga sports club
Wanasubiri wamchinje na kumtafuna Simba Kwa Mkapa Tarehe 25/9/2021. Safari hii mnyama ataliwa mpaka mkia hakuna kuacha kituHawa ngedere watatolewa hatua za mwanzo kabisa kwenye CAF
Yanga wamepeleka wachezaji wadogo kwenye mashindano wakapate uzoefu, 90% ya kikosi ni wachezaji wa U-20
Duhkwani wale wakubwa wamefanya nini kwa hii miaka minne?
This is UTO FC[emoji41][emoji41][emoji41]
Wazee wa mieleka na taekwondoHii ndo Yanga inayoilaumu tff na marefa kuwaumiza,Mungu amfichi mnafki.
Dose ya tumbo la kuhara[emoji23][emoji23][emoji23]3 kwa 0[emoji204][emoji205][emoji1664][emoji1663][emoji3080][emoji191][emoji191]