Yanga Sc 2-2 KMKM | Mapinduzi Cup | Zanzibar

Sijajua lengo lake lilikua ni nini pale kumvuta hersi shingo huku akipeleka mdomo wake

Yaani kaniacha na maswali mengi, nimefikiria na kuwaza naona kama kabwili alionewa tu
Mbwa wangu Jike huwa akitaka Kupandwa na Dume langu hupenda sana Kumsumbua, Kumlalia, Kumchumu mno Mdomoni huku akipanua hovyo hovyo Miguu yake na Binafsi hulifurahia zaidi hili Tukio na Kulikodolea mwanzo mwisho.

Natamani na hata kwa Sisi Binadamu ( Wanadamu ) ingekuwa hivi hivi kwani ingenoga.
 
So what are you actually trying to justify here?
Umeelewa vizuri tu nazungumzia aina ya wapinzani anaokutana nao Yanga. Yanga imecheza na KMKM ambaye ni kinara wa ligi kuu Zanzibar na pia jang'ombe ambeye yupo top four

Simba imecheza na Selem view ambao wapo mkiani na leo na mlendege ambao wapo nafasi ya tano.
 
kwa hiyo tukate rufaa ZFA?
 
Unanipa mashaka ulijuaje kama muungano una limit wakati wazee walikubaliana nchi iwe moja
Ndo maana tunaitwa Tanzania.
Huu muungano wa janja janja uangaliwe upya
Ujue au usijue ilipo, cha msingi ni kwamba Muungano upo, na waliojaribu kuuchezea walishughulikiwa
 
Hapa yanga amefuzu mashabiki wa simba wanatapika hivi,,sipati picha kama tusinge qualify.

BTW mashindano ya makombe 'yanachezwaga' kwa akili,maana pale kinacho matter ni kuchukua kombe na sio idadi ya mechi ulizoshinda maana ile sio league.
 
Hapa yanga amefuzu mashabiki wa simba wanatapika hivi,,sipati picha kama tusinge qualify.
Yanga ikiwa na mashaka Simba lazima wafurahi, and vice-versa. Kitendo cha Yanga kuruhusu bao mbili kuingia wavuni kinafanya wachezaji na mashabiki wa Yanga kuingiwa na mashaka, na hiyo ndio furaha za mnyama. Kinachotakiwa na Yanga ni kuombea Simba nayo iruhusu mabao kama mawili hivi kwenye mchezo wake, hapo kutakuwapo utulivu pande zote
 
Huyu jamaa anachafua taswira ya mwenzake! It's too much! Mara ya kwanza mechi fulani, nilidhani ni furaha ya ushindi, lakini hata kwa KMKM jamani ndo kulazimisha kukumbatiwa?
Hersi anajaribu kumzuia lakini mchizi anaforce
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…