LIVE Yanga SC 3-1 Coastal Union | CRDB Federation Cup | 12.03.2025 | KMC Complex | 10:00 Jioni

LIVE Yanga SC 3-1 Coastal Union | CRDB Federation Cup | 12.03.2025 | KMC Complex | 10:00 Jioni

Live coverage on JamiiForums

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Mabingwa watetezi wa kombe la CRDB FEDERATION CUP, YOUNG AFRICANS SC watakuwa dimbani leo majira ya saa 10kamili jioni,wakimenyana vikali na Coastal Union ya Tanga.

Timu ipi kusonga hatua inayofuata katika mashindano haya?

Ambatana nami mwanzo hadi mwisho kukuletea updates/yanayojiri moja kwa moja kutoka katika mchezo huu

KARIBU
Dk 79 ki anapiga freekik inaishia ktk ukutatwa coastal union
 
Mabingwa watetezi wa kombe la CRDB FA CUP, YOUNG AFRICANS SC watakuwa dimbani leo majira ya saa 10kamili jioni,wakimenyana vikali na Coastal Union ya Tanga.

Timu ipi kusonga hatua inayofuata katika mashindano haya?

Ambatana nami mwanzo hadi mwisho kukuletea updates/yanayojiri moja kwa moja kutoka katika mchezo huu

KARIBU
Wagosi bingwa
 
CRDB Bank Federation Cup

Leo saa 10:00 jioni, Yanga SC watakuwa dimba la KMC Complex wakiwakaribisha Coastal Union, mechi ya hatua ya 32 bora.
Screenshot 2025-03-12 130713.png
 
Back
Top Bottom