Tarehe mpya inapangwa, hakuna mabaunsa, hakuna kukwepa. Mazoezi ya usiku yako pale paleKila la heri kiboko ya makolo, wakisikia Yanga wanatoka nduki kama mtu aliyefumaniwa akapata upenyo
FA yao ilipata barua ya Ahly, haikuahirisha. FA yetu ilipata barua ya Simba, ikaahirisha.Umeona cha soka Misri?? Hawakuahirisha mechi kama haya ya kwetu. Hawakuiogopa ni timu gani kama haya yetu